Jemedal_bin_chichi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 542
- 585
na mwaka wa tatu huu natumia techno,, sijawahi kujutia kutumiasiku zote mtu husifia alicho nacho, laiti ungeujua ubovu wa tecno usingezisifia kamwe
na mwaka wa tatu huu natumia techno,, sijawahi kujutia kutumiasiku zote mtu husifia alicho nacho, laiti ungeujua ubovu wa tecno usingezisifia kamwe
Na kuna uzi humu ambao kila mwenye kutumia tecno kama mie walielezea adha na changamoto wanazopata kwenye tecno - searchsiku zote mtu husifia alicho nacho, laiti ungeujua ubovu wa tecno usingezisifia kamwe
Samsung huwezi kulinganisha na Tecno mkuuTechno 6 plus "phanthom" ndiyo kila kitu. Iko nzuri kuliko hizo Samsung munazozizifia!!!
Hiyo techno ni fake. Original ni tecnona mwaka wa tatu huu natumia techno,, sijawahi kujutia kutumia
Simu yenye RAM gb1 utafanyia nini, naona itakuwa full kuganda.
Tecno ni simu nzuri kuliko Samsung sema wanafiki wanajidai kuipondaSamsung zinalipuka hakuna mtu anayetaka kutembea na fire extinguisher
acha kushangaa shangaa, simu nzuri lazma iwe na uwezo mzuri, mfn: camera bomba, ram na storage kubwa, display pouwa, processor fresh, battery kubwa etc...Sasa njoo nikupe simu ya kibaba..sony xperia z, ipo full box au galaxy J3 au nyingne zipo kibao utachagua mwenyewe. nini tecno bana wakati vunja bei matelephone nipo humu!Wanajamii naomba mtu mwenye ujuzi na simu anijuze. nimejichangachanga kidogo nina 200,000/= hivyo nataka ninunue simu yenye ubora mzuri. nahitaji TECNO je ipi nzuri kwa pesa hiyo au nikiongeza kidogo 250,000/=
Nunua tecno c5Wanajamii naomba mtu mwenye ujuzi na simu anijuze. nimejichangachanga kidogo nina 200,000/= hivyo nataka ninunue simu yenye ubora mzuri. nahitaji TECNO je ipi nzuri kwa pesa hiyo au nikiongeza kidogo 250,000/=
Wewe itakuwa CCM chama cha kudharau watu wasio na makosa na kuwatukuza mafisadi hadi kuwaita waheshimiwa house Girl siyo ufisadi.mafisadi wengi wa chama cha magamba wanatumia samsungtecno simu za mahausigeli wewe..jichange uchukue walau s4 mini ujismartphonishe kijanja zaidi