Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,124
Usihofu endelea kutumia tu!.. Lakini fatilia matatizo ya Huawei yapo upande gani!?..Huawei ip?,mimi natumia mate 8 mwaka wa pili sasa ktu kama kipya
Usihofu endelea kutumia tu!.. Lakini fatilia matatizo ya Huawei yapo upande gani!?..Huawei ip?,mimi natumia mate 8 mwaka wa pili sasa ktu kama kipya
Acheni mizinguo.mimi natumia itel P51,hata Samsung haioni ndani.
Namshangaa na mimi huyu jamaa, halafu mimi ni mdau wake sana kwenye web yake tech.unalinganisha simu ama unalinganisha brand? sababu huwezi ukasema tu simu ya Huawei au Tecno au Itel maana kuna maelfu ya simu ya hizo brand kuna nzuri na mbaya.
ningemuulia mbali anayejilazimisha nichague halafu ningechukua huaweiNa je kama ni lazima uchague hapo ungechagua simu ipi.
Hahhaningemuulia mbali anayejilazimisha nichague halafu ningechukua huawei
Huawei unalinganisha na uchafu tecno na ndugu zake itel kampuni namba 3 duniani unaifananisha na kikampuni cha 100 huko halijulikaniHabari wana JF, Najua hili ni swali la watu wengi sana, lakini ningependa, kujua ni simu gani bora kwako kati ya simu za Tecno, Huawei au simu za iTel. Ningependa kujua kwa kuchagua hapo juu, pia tukipata sababu ni kwanini pia itakuwa vizuri na itawasaidia watu wengine leo hata au hata hapo baadae.
Umetoa kura yako hapo juu.?Huawei unalinganisha na uchafu tecno na ndugu zake itel kampuni namba 3 duniani unaifananisha na kikampuni cha 100 huko halijulikani
Sio kweli mi natumia itel 1501 na wala haina tatizo ni mwaka wa tatu sasa .hiyo itel s31 tena INA ram na processor kubwa haiwez kustackhiyo simu inafanya kazi vizuri ikiwa mpya kaa nayo miezi sita itaanza ku stach
Sifa ya kwanza,ukitongoza demu hachomoki.sifa ya pili chaji inakaa mpaka unasahau
Sifa ya 3 hauumwi hovyo hovyo.
Sifa ya 4 ram yake kama wowowo
Sifa ya tano camera yake inascan hadi firigisi.bei yake 200000