Simu Ipi Bora Kati ya Tecno, Huawei na Simu ya iTel

Simu Ipi Bora Kati ya Tecno, Huawei na Simu ya iTel

Simu Ipi Bora Kati ya Simu za Tecno, Huawei na Simu za iTel..?

  • Tecno

    Votes: 8 25.0%
  • Huawei

    Votes: 22 68.8%
  • iTel

    Votes: 2 6.3%

  • Total voters
    32
Kwanini Huawei ni bora kaka.. Kama hutojali.
Tuko pamoja mkuu.
Huawei wanatengeneza system on chip (soc) zao zinaitwa KIRIN,component zingine kama kamera na sensa wanazotumia nizile zenye ubora wa hali ya juu.Ndiyo maana huawei zinauzwa dunia nzima na hata google wamewahi shirikiana kutengeza simu pamoja,hadhi ambayo ni samsung,HTC na motorola walikuwa wanapewa.
Kwa upande wa tecno wanatumia soc za MTK ambazo hutumiwa na brand zinazo uza china,asia mashariki,india na Afrika.MTK ni dhaifu kiutendaji ukilinganisha na QUALCOM na KIRIN.
Zaidi ya yote simu za tecno hutumia komponent zenye matilio ya hali ya chini ndiyo maana utakuta zinapokuwa mpya huwa zinafanyakazi vizuri sana lkn zikimaliza mwaka huwa choka mbaya,kuanzia kioo kufifia hadi kamera kuanza kukosa focus nk.
 
Tuko pamoja mkuu.
Huawei wanatengeneza system on chip (soc) zao zinaitwa KIRIN,component zingine kama kamera na sensa wanazotumia nizile zenye ubora wa hali ya juu.Ndiyo maana huawei zinauzwa dunia nzima na hata google wamewahi shirikiana kutengeza simu pamoja,hadhi ambayo ni samsung,HTC na motorola walikuwa wanapewa.
Kwa upande wa tecno wanatumia soc za MTK ambazo hutumiwa na brand zinazo uza china,asia mashariki,india na Afrika.MTK ni dhaifu kiutendaji ukilinganisha na QUALCOM na KIRIN.
Zaidi ya yote simu za tecno hutumia komponent zenye matilio ya hali ya chini ndiyo maana utakuta zinapokuwa mpya huwa zinafanyakazi vizuri sana lkn zikimaliza mwaka huwa choka mbaya,kuanzia kioo kufifia hadi kamera kuanza kukosa focus nk.
Asante sana kaka... Well Said!
 
Huawei ni bora zaidi. Ninayo zaidi ya miaka mitatu haina shida
 
Huawei ndiyo simu nzuri na zenye ubora katika matumizi ya intaneti, uwezo wake ni mkubwa pia lakini kwa upande wa kamera wamefeli.
 
Nimetumia zote 3
Tecno baada ya muda flani huanza pungua quality ya picha zake!.
Huawei baada ya muda betri lake ni majanga.
iTel haina sifa ya simu.
Bora kuenda na Huawei kuliko zote hapo!.
Sawa kaka sasa vipi kura yako
 
Sawa kaka sasa vipi kura yako
Nimeipatia Huawei lakini kwanini unataka kura badala ya maoni?..Unazani utafiti wako upo sahihi kulinganisha brand 3 pekee!..Kama uchina zipo brand nyingi sana za kichina kuna Infinix na Xiaomi etc.
 
Hizo simu mbona zinaeleweka kwa nchi zetu hizi, kinachoulizwa ni kipi. Kama kwa kundi hilo Huawei inasaidia. Swali hili ni gumu labda kabla hujanunua simu kulingana na pesa yako jiridhishe kwa kupitia views mbalimbali hata hapa jf, kuna kila kilicho bora na ushauri tele umetolewa search utapata yote humu kwa faida zaidi.
 
Acheni mizinguo.mimi natumia itel P51,hata Samsung haioni ndani.
 
Tuko pamoja mkuu.
Huawei wanatengeneza system on chip (soc) zao zinaitwa KIRIN,component zingine kama kamera na sensa wanazotumia nizile zenye ubora wa hali ya juu.Ndiyo maana huawei zinauzwa dunia nzima na hata google wamewahi shirikiana kutengeza simu pamoja,hadhi ambayo ni samsung,HTC na motorola walikuwa wanapewa.
Kwa upande wa tecno wanatumia soc za MTK ambazo hutumiwa na brand zinazo uza china,asia mashariki,india na Afrika.MTK ni dhaifu kiutendaji ukilinganisha na QUALCOM na KIRIN.
Zaidi ya yote simu za tecno hutumia komponent zenye matilio ya hali ya chini ndiyo maana utakuta zinapokuwa mpya huwa zinafanyakazi vizuri sana lkn zikimaliza mwaka huwa choka mbaya,kuanzia kioo kufifia hadi kamera kuanza kukosa focus nk.
Inategemea ni Tecno model gani, mimi yangu L9+ ina mwaka sasa na hivyo ulivyovisema sijui camera, ina process vizuri kama mpya, sioni tofauti.
 
Tupe sifa za hiyo itel P 51
Sifa ya kwanza,ukitongoza demu hachomoki.sifa ya pili chaji inakaa mpaka unasahau

Sifa ya 3 hauumwi hovyo hovyo.
Sifa ya 4 ram yake kama wowowo
Sifa ya tano camera yake inascan hadi firigisi.bei yake 200000
 
Hao techno na itel wanatoa internal memory kubwa kulinganisha na huawei pia upande wa bei techno na itel wako cheap but performance ya huawei nyingi ni bora kuliko techno... Ko kama unanunua kati ya hizo bora ununue Huawei... Hao wengine....
Na hata lifetime ya betry Tecno wameimprove sana.
 
Back
Top Bottom