Simu Ipi Bora Kati ya Tecno, Huawei na Simu ya iTel

Simu Ipi Bora Kati ya Simu za Tecno, Huawei na Simu za iTel..?

  • Tecno

    Votes: 8 25.0%
  • Huawei

    Votes: 22 68.8%
  • iTel

    Votes: 2 6.3%

  • Total voters
    32

Tanzania Tech

JF-Expert Member
Dec 8, 2016
355
276
Habari wana JF, Najua hili ni swali la watu wengi sana, lakini ningependa, kujua ni simu gani bora kwako kati ya simu za Tecno, Huawei au simu za iTel. Ningependa kujua kwa kuchagua hapo juu, pia tukipata sababu ni kwanini pia itakuwa vizuri na itawasaidia watu wengine leo hata au hata hapo baadae.
 
TECNO.....MTK
HUAWEI.....QUALCOMM
ITEL....SPD

watu wa software wamenielewa vizuri, ni chip gani iko strong zaidi ya hiyo wanayoitumia Tecno
So tofauti za processor what else is best kwenye simu hizo and please cast your vote.
 
Kwanini Huawei ni bora kaka.. Kama hutojali.
First nimeshatumia huawei na techno pia

Huawei inadumu zaidi ya techno

Interms of price : Techno yaweza kuwa na specification kubwa sana compare to huawei lakini bei yake ikawa ya chini ukilinganisha na huawei with the same specifacation
But life span ya techno is at ur own risk

Itel weka pembeni kwanza
 
So tofauti za processor what else is best kwenye simu hizo and please cast your vote.
hapo nitachagua huawei, ndio yenye afadhali, kwanini? kwa sababu ni hii hapa...nashinda na hayo madubwana karibia masaa16 kwa siku
 

Attachments

  • 13164311_1047135305342081_5428912447195635115_n.jpg
    13164311_1047135305342081_5428912447195635115_n.jpg
    28.8 KB · Views: 110
As you use any smartphone always its processing speed goes in decrease so the rate ya Techno pia ni kubwa kulunganisha na Huawei

Namaanisha kustack stack
 
First nimeshatumia huawei na techno pia

Huawei inadumu zaidi ya techno

Interms of price : Techno yaweza kuwa na specification kubwa sana compare to huawei lakini bei yake ikawa ya chini ukilinganisha na huawei with the same specifacation
But life span ya techno is at ur own risk

Itel weka pembeni kwanza
Well Said! Thanks please vote too.
 
Back
Top Bottom