nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,928
- 5,770
Huawei PmateNa je kama ni lazima uchague hapo ungechagua simu ipi.
Huawei PmateNa je kama ni lazima uchague hapo ungechagua simu ipi.
Oky unaweza ku0vote hapo juu..?Huawei Pmate
No nalinganisha kampuni za simu pamoja na experience za watu wakati wanatumia simu kutoka kampuni hiyowacompare makampuni ya simu au aina za simu maana simu zipo nyingi na specification tofauti.
Umejib vema sana mkuuHuawei is the Best
Techno good for Camera
Itel ......Just a smatphone
Sasa unamjibu mtu wa software au MUULIZA swali?TECNO.....MTK
HUAWEI.....QUALCOMM
ITEL....SPD
watu wa software wamenielewa vizuri, ni chip gani iko strong zaidi ya hiyo wanayoitumia Tecno
Weka vote yako kaka, hapo juu.Kubabake ndo kwanza nimetoka nunua itel s31 nimeona ni bonge moja la simu ila kwa maneno haya nayosoma humu hamjanishawishi kukata tamaa kirahisi
Itel is betterWeka vote yako kaka, hapo juu.
Hapo juu pana sehemu ya kuchaguaItel is better
infinix nazo nzur ila zinapoteza uwezo wa kamera kila siku kama ilivyo kwa nduguze tecnoHizi infinix zinatunza charge kinoma
Swali lako liko General sana hutapata majibu sahihi...Habari wana JF, Najua hili ni swali la watu wengi sana, lakini ningependa, kujua ni simu gani bora kwako kati ya simu za Tecno, Huawei au simu za iTel. Ningependa kujua kwa kuchagua hapo juu, pia tukipata sababu ni kwanini pia itakuwa vizuri na itawasaidia watu wengine leo hata au hata hapo baadae.
hiyo simu inafanya kazi vizuri ikiwa mpya kaa nayo miezi sita itaanza ku stachKubabake ndo kwanza nimetoka nunua itel s31 nimeona ni bonge moja la simu ila kwa maneno haya nayosoma humu hamjanishawishi kukata tamaa kirahisi
Ni kweli mkuu hata Tecno ni hvyo hvyo ikizidi miezi 8 bac bahati yako itaanza ku stach hapo unajuwa huielewi mpk mwisho inakataa hata kuwakahiyo simu inafanya kazi vizuri ikiwa mpya kaa nayo miezi sita itaanza ku stach
hizo zote ni kampuni ileileNi kweli mkuu hata Tecno ni hvyo hvyo ikizidi miezi 8 bac bahati yako itaanza ku stach hapo unajuwa huielewi mpk mwisho inakataa hata kuwaka
Huawei ip?,mimi natumia mate 8 mwaka wa pili sasa ktu kama kipyaNimetumia zote 3
Tecno baada ya muda flani huanza pungua quality ya picha zake!.
Huawei baada ya muda betri lake ni majanga.
iTel haina sifa ya simu.
Bora kuenda na Huawei kuliko zote hapo!.