Shunda Omary
Member
- Feb 26, 2017
- 17
- 14
Huawei is the Best
Techno good for Camera
Itel ......Just a smatphone
Itel no hovyo
Huawei is the Best
Techno good for Camera
Itel ......Just a smatphone
Inategemea ni Tecno model gani, mimi yangu L9+ ina mwaka sasa na hivyo ulivyovisema sijui camera, ina process vizuri kama mpya, sioni tofauti.[/QUOTE
Kwa tecno PHANTOM series ndiyo namba moja kwao na huawei ni P series kama unataka kulinganisha ubora kati yao.kwa ninavyo jua techno L9+ unabetri kubwa hivyo hutunza chaji mda mrefu,lkn ina proximity senser dhaifu.
zinakaa charge balaaa.....Tafuta infinix wewe acha kuangaika
Unaota weweAcheni mizinguo.mimi natumia itel P51,hata Samsung haioni ndani.
Hapo ni sawa kuuliza kati ya malaria,homa na kizunguzungo kipi bora
Nyokooo sana wewe Kenge.Hizi infinix zinatunza charge kinomazinakaa charge balaaa.....
Quallcom but Quallcom nyingine hazipo vzr haswa kwa simu za bei ndogoTECNO.....MTK
HUAWEI.....QUALCOMM
ITEL....SPD
watu wa software wamenielewa vizuri, ni chip gani iko strong zaidi ya hiyo wanayoitumia Tecno
Brand na experience za watu waliotumia.unalinganisha simu ama unalinganisha brand? sababu huwezi ukasema tu simu ya Huawei au Tecno au Itel maana kuna maelfu ya simu ya hizo brand kuna nzuri na mbaya.
Oh okyHaaa!![]()
![]()
![]()
![]()
kwa lipi?
Na je kama ni lazima uchague hapo ungechagua simu ipi.Hakuna yenye unafuu hapo, zote ni simu za kishenzy tu. Tafuta brand nyingine achana na hayo makopo, ninatumia huawei, ila tabu ninayoipata doooh! Hizo brand zingine nina uzoefu nazo kupitia mafundi simu ninakutana nao mara kwa mara