majid salim dossa
Member
- Nov 22, 2020
- 25
- 6
Wakuu habar zenu mimi na shida simu yangu inanisumbua camera. Itel a32f, camera inaonesha giza nimepeleka kwa fundi akabadilisha akaweka camera zingine lakini bado inaonesha giza tu nimejaribu pia kwa fundi mwingine kabadisha kaweka zingine lakini inaonesha hivyo hivyo kuback up naye nimeback up lakini bado inaonesha giza tu sijajuwa shida iko wapi naombeni msaada wenu hata ushauri tu nifanyeje