Kidume cha mbegu
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 1,251
- 710
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"
Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"
Wazungu wakasema "Ladies first"
Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"
Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"
Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
Siwezi kuacha asilani kupita bila kuchangia uzi wowote unaomtetea mwanamkeSimtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"
Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"
Wazungu wakasema "Ladies first"
Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"
Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"
Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
dini nyingi mbadala zinamuona mwanamke kama njia ya kwendaa mbinguni, kwa haraka nawe upo katika mkumbo huo labda bila hata ya kufahamu.Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"
Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"
Wazungu wakasema "Ladies first"
Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"
Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"
Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
Haijamkandamiza ... Kuna kitu kinaitwa submission, kipo pia hata katika "GOD HEAD." Cha msingi kila mmoja anapaswa kusimama katika nafasi yake, wote mwanamme + mwanamke.
Je! Unajua kwa nini shetani alienda moja moja kumjaribu mwanamke & alimkwepa mwanamme kule Edeni? Mmeumbwa kumtegemea mwanamme kwa kiasi kikubwa ... Alone you are prone to attacks.
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"
Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"
Wazungu wakasema "Ladies first"
Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"
Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"
Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.
kwahiyo wanawake ndio wameshikilia uhai wa wanaume ama mimi ndio sijaelewa? Fafanua kidogoMwanaume bila mwanamke hawezi ishi na wala siku haiwezi pita hasa humu ndani
Wew mtoa mada naon hujielewi unazunguzia hawa wanawake Wa kisasa mweshimu uone moto wake me nawaheshimu tu wazazi na wama wenye miaka kuanzia 50 na kuendelea ila huku chini ya 50 siwezi hats kwa bunduki maana wengin tunacheza nap severe kama kawa ,kwanza acha ujinga Wa kuwaheshimu hawa wadada waliyo zaliwa miak ya 80 mpka sasa no ujinga
kwahiyo wanawake ndio wameshikilia uhai wa wanaume ama mimi ndio sijaelewa? Fafanua kidogo
Hao ndo wamama wa baadae...Wamama sawa, ila 25 kushuka chini hakuna kitu.
Achen kusuppotiana ujinga...kwan kumuheshimu mtu kuna maanisha nn, au unapungukiwa na nn ukimuheshimu mtu..yan mnaweka hasira kwa vtu visivyo na maana...msihukumu mana naona mnafanya mjumuisho wa wanawake wa age flan hawatakiw kuheshmiwa bila kujali si kila mwanamke wa age hyo yupo hvyo mnavyofikili nyinyi...Mkuu umenena yaliyo makuu
We run the world...mana these men hawakai siku bila kutuzungumzia...Wanawake ... wanawake ... wanawake
Wewe hata bibi ako humuheshimu...duhZaidi ya mama yako no mwingine wa kuheshimiwa
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama"
Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima"
Wazungu wakasema "Ladies first"
Biblia imesema "Tupate wapi wanawake waombolezaji"
Mimi nasema "Ukimuumiza mwanamke mmoja umemuumiza MUNGU na taifa zima"
Wanaume tuwaheshimu wanawake ndipo tutafanikiwa katika kila tulifanyalo.