Simpsons predictions

Yap hata hata kitabu itakuwa poa.
Ila mkuu nikuulize wewe unaamini 💯 percent kama incarnation it's a real thing na hauna doubt hata kidogo?
Reincarnation siiamini 100% japo kuna vitu vinanifanya niiamini ipo kwa % nyingi.
Kuna memories or flashback from times long ago ambazo unazikumbuka lakini kwenye maisha ya sasa haujawahi kuziona.

Kuna siku tulienda kumsalimia babu mzaa mama, sikuwahi kumjua kabla wala kwenda huo mkoa kabisa. Mke wake ambaye ni bibi yangu alifariki kitambo kwa hiyo anaishi bila mke.

Wakati tunaenda nilikuwa na miaka kati ya mitano au sita. Nilivofika pale cha ajabu nikawa nashangaa mbona pamebadilika sana, wakawa wananishangaa kwanini nasema hivyo na sijawahi kufika kabla.
Nilikuwa nakumbuka sura ya babu akiwa kijana na alivyokuwa anapenda kuvaa, na pia nyumba yao ya zamani ambayo ilishawahi kubomolewa nilikuwa naikumbuka hadi ilipokuwa imejengwa na niliwaelezea wakasema ni kweli kabisa.

Palikuwa na mti mkubwa ambapo kwa chini tulikuwa tumeweka mafiga tunapikia hapo, na ninakumbuka mimi nikiwa chini ya huo mti napika. huo mti nilikuta umekatwa na nyumba imejengwa hapo, na nilivyowaambia waliishia kushangaa tuu inakuwaje na sikuwahi kufika huko kabla.

Ni mambo mengi ambayo siwezi kuyaandika yote ambayo niliyakumbuka tukiwa kule kwa sababu watu huwa wananibishia lakini mimi nina uhakika.

Baba yangu alianza kufuatilia na majibu aliyokuwa anayapata ni yanahusishwa na reincarnation, na tangu pale baba humbishii kitu kwamba hamna reincarnation.

Binafsi sina uhakika kama ni reincarnation au ni kitu gani ila nilichoandika hapo ni ukweli. Na kama sio reincarnation inaweza kuwa ni nini?.

Pia kuna siku kwenda platform moja watu walikuwa wana-share vitu ambavyo watoto wao wanasema vinavofanya wahisi walishaishi kabla, wazazi waliandika mambo mengi sana. Ikanifanya niendelee kuamini.
Wanasema pia hizi memories huwa zinatokea kwa watoto chini ya miaka 8.
 
Mkuu kwa kifupi Dreamworks ndo baba lao hawajawah kuniangusha ukichek kuanzia
Bee Movie
Kung Fu Panda
Madagascar: Escape 2 Africa
Monsters vs. Aliens
How to Train Your Dragon
Shrek
Megamind
Kung Fu Panda 2
Puss in Boots na nyingine kibao zinakuja.Halafu pia Walt Disney wako vizuri na wenyewe
Hotel Transylvania zote,secret life of pets 1&2,bad cat,daaah nazijua nyingi mnooo! In short am fond of animations

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reincarnation siiamini 100% japo kuna vitu vinanifanya niiamini ipo kwa % nyingi.
Kuna memories or flashback from times long ago ambazo unazikumbuka lakini kwenye maisha ya sasa haujawahi kuziona.

Kuna siku tulienda kumsalimia babu mzaa mama, sikuwahi kumjua kabla wala kwenda huo mkoa kabisa. Mke wake ambaye ni bibi yangu alifariki kitambo kwa hiyo anaishi bila mke.

Wakati tunaenda nilikuwa na miaka kati ya mitano au sita. Nilivofika pale cha ajabu nikawa nashangaa mbona pamebadilika sana, wakawa wananishangaa kwanini nasema hivyo na sijawahi kufika kabla.
Nilikuwa nakumbuka sura ya babu akiwa kijana na alivyokuwa anapenda kuvaa, na pia nyumba yao ya zamani ambayo ilishawahi kubomolewa nilikuwa naikumbuka hadi ilipokuwa imejengwa na niliwaelezea wakasema ni kweli kabisa.

Palikuwa na mti mkubwa ambapo kwa chini tulikuwa tumeweka mafiga tunapikia hapo, na ninakumbuka mimi nikiwa chini ya huo mti napika. huo mti nilikuta umekatwa na nyumba imejengwa hapo, na nilivyowaambia waliishia kushangaa tuu inakuwaje na sikuwahi kufika huko kabla.

Ni mambo mengi ambayo siwezi kuyaandika yote ambayo niliyakumbuka tukiwa kule kwa sababu watu huwa wananibishia lakini mimi nina uhakika.

Baba yangu alianza kufuatilia na majibu aliyokuwa anayapata ni yanahusishwa na reincarnation, na tangu pale baba humbishii kitu kwamba hamna reincarnation.

Binafsi sina uhakika kama ni reincarnation au ni kitu gani ila nilichoandika hapo ni ukweli. Na kama sio reincarnation inaweza kuwa ni nini?.

Pia kuna siku kwenda platform moja watu walikuwa wana-share vitu ambavyo watoto wao wanasema vinavofanya wahisi walishaishi kabla, wazazi waliandika mambo mengi sana. Ikanifanya niendelee kuamini.
Wanasema pia hizi memories huwa zinatokea kwa watoto chini ya miaka 8.
Woow!! Ulipofika hapo kwa babu yako kuona mazingira kama ushawahi kufika ningeweza kusema ni de'javu ila kama hali hyo inaendelea kutokea na matukio tofauti basi there is something else.

Ila mkuu hizo similar cases za incarnation niliziona pia kwenye documentary ila sijui kwa nini nakua dilemma niamini au nisiami labda mpaka nikutane live na hyo situation.
Haya mambo mkuu yapo ki spiritual zaidi ndomana wenye imani kali kama wa Hindu na Monks wanaamini akifa atarudi tena in another form au kama binadamu vile vile,halafu nitajitahidi nifatile nijifunze hii kwa kina story yako ni fascinating nimetamani kujua zaidi.
 
Woow!! Ulipofika hapo kwa babu yako kuona mazingira kama ushawahi kufika ningeweza kusema ni de'javu ila kama hali hyo inaendelea kutokea na matukio tofauti basi there is something else.

Ila mkuu hizo similar cases za incarnation niliziona pia kwenye documentary ila sijui kwa nini nakua dilemma niamini au nisiami labda mpaka nikutane live na hyo situation.
Haya mambo mkuu yapo ki spiritual zaidi ndomana wenye imani kali kama wa Hindu na Monks wanaamini akifa atarudi tena in another form au kama binadamu vile vile,halafu nitajitahidi nifatile nijifunze hii kwa kina story yako ni fascinating nimetamani kujua zaidi.

Deja Vu inakuwa ni matukio ya past kweli? Hata mimi nilihisi inaweza kuwa Deja Vu lakini deja vu kama nakumbuka vizuri inakuwa ni tukio ambalo lipo wakati huo ni unahisi kama ulishaliona kabla hivo hivo.

Yaani part of our brain pick up signals about what's going to happen before they happen and when our consciousness notices what's going on we think it's happened before? Am I correct?

Sasa case yangu nilikuwa naona ilikuwa hivi japo kwa wakati huo haipo hivo tena kuna mabadiliko. Mfano nakumbuka sehemu fulani palikuwa na mti ila sasa ni nyumba.

Halafu hawa Monks natamani sana siku nikiweza nikafanye ziara. Na kumbuka kitabu cha "The Monk Who Sold His Ferrari". Natamani kujua kama inafanya kazi kweli nianze meditation.
Inaonekana Buddhist monks wana siri nyingi sana.

Below 40, you've earned my respect. Yo Smart.
 
Deja Vu inakuwa ni matukio ya past kweli? Hata mimi nilihisi inaweza kuwa Deja Vu lakini deja vu kama nakumbuka vizuri inakuwa ni tukio ambalo lipo wakati huo ni unahisi kama ulishaliona kabla hivo hivo.

Yaani part of our brain pick up signals about what's going to happen before they happen and when our consciousness notices what's going on we think it's happened before? Am I correct?

Sasa case yangu nilikuwa naona ilikuwa hivi japo kwa wakati huo haipo hivo tena kuna mabadiliko. Mfano nakumbuka sehemu fulani palikuwa na mti ila sasa ni nyumba.

Halafu hawa Monks natamani sana siku nikiweza nikafanye ziara. Na kumbuka kitabu cha "The Monk Who Sold His Ferrari". Natamani kujua kama inafanya kazi kweli nianze meditation.
Inaonekana Buddhist monks wana siri nyingi sana.

Below 40, you've earned my respect. Yo Smart.
Yap Deja Vu inakua ni on going occasion lakini unahisi kama tukio hilo ushawahi kuwepo hapo mfano mnaweza kuwa mmekaa mapiga story lakini unahisi kama ishawahi kutokea.
Lakini we case yako ulivyoielezea naona kama there is someone embodied in you,inaonekana kama ukifika sehemu familiar ndo hali hyo inakuepo si ndiyo?

Monks mkuu wanaishi maisha ambayo ni very interesting kama unataka kufanya tour huko utafaidi sana,jinsi nilivyojifunza hawa watu ni wataratibu they believe in peace ni wazuri pia kwenye decision making.Hicho kitabu unacho mkuu? I wish ningekua na uwezo wa kupata kila kitabu ninachokita.

You've also win my respect Paula paul tena twice.
 
Yap Deja Vu inakua ni on going occasion lakini unahisi kama tukio hilo ushawahi kuwepo hapo mfano mnaweza kuwa mmekaa mapiga story lakini unahisi kama ishawahi kutokea.
Lakini we case yako ulivyoielezea naona kama there is someone embodied in you,inaonekana kama ukifika sehemu familiar ndo hali hyo inakuepo si ndiyo?

Monks mkuu wanaishi maisha ambayo ni very interesting kama unataka kufanya tour huko utafaidi sana,jinsi nilivyojifunza hawa watu ni wataratibu they believe in peace ni wazuri pia kwenye decision making.Hicho kitabu unacho mkuu? I wish ningekua na uwezo wa kupata kila kitabu ninachokita.

You've also win my respect Paula paul tena twice.
Ndio Below 40, japo kuwa hiyo hali ilitokea kipindi hicho tuu, kwa sasa sijaona chochote kuhusiana na hii tunayohisi inaweza kuwa reincarnation. Labda tuu Deja vu ambayo ni kawaida.

Kitabu sina ila kuna hii linki itakupeleka moja kwa moja utakidownload. Ni kitabu kizuri sana, ukikisoma hautajutia kabisa.

Thank you Below 40, I appreciate.
 
Ndio Below 40, japo kuwa hiyo hali ilitokea kipindi hicho tuu, kwa sasa sijaona chochote kuhusiana na hii tunayohisi inaweza kuwa reincarnation. Labda tuu Deja vu ambayo ni kawaida.

Kitabu sina ila kuna hii linki itakupeleka moja kwa moja utakidownload. Ni kitabu kizuri sana, ukikisoma hautajutia kabisa.

Thank you Below 40, I appreciate.
Ok poa,shukrani ngoja nifanye kukicheki saiv.
 
Woow!! Ulipofika hapo kwa babu yako kuona mazingira kama ushawahi kufika ningeweza kusema ni de'javu ila kama hali hyo inaendelea kutokea na matukio tofauti basi there is something else.

Ila mkuu hizo similar cases za incarnation niliziona pia kwenye documentary ila sijui kwa nini nakua dilemma niamini au nisiami labda mpaka nikutane live na hyo situation.
Haya mambo mkuu yapo ki spiritual zaidi ndomana wenye imani kali kama wa Hindu na Monks wanaamini akifa atarudi tena in another form au kama binadamu vile vile,halafu nitajitahidi nifatile nijifunze hii kwa kina story yako ni fascinating nimetamani kujua zaidi.
Nilikuwa nikifatilia mafunzo ya mwana saikolojia, theorojia mmoja. Alipata kusema ya kuwa

1.Mtoto si kiumbe kipya, bali ni kiumbe cha mwili mpya/mdogo
2.Mtoto huchagua mzazi, huamua kuwa huyu anafaa kuwa mzazi.

Pia, kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na bond kati ya spiriti inayoishi na ile iliyo katik dimension nyingine, bond hiii huweza kujengwa kupitia njia nyingi ikiwemo MAJINA , yaani tabia,hulka huweza kupasishwa kutoka mmoja kwenda mwingine. Pia, suala la bond ikiwa strong ndio itafika hadi ktk mwili wa hisia na kumbu kumbu.

Majina ni swala moja zipo aspect nyingi tu, kama majira ya kuzaliwa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nikifatilia mafunzo ya mwana saikolojia, theorojia mmoja. Alipata kusema ya kuwa

1.Mtoto si kiumbe kipya, bali ni kiumbe cha mwili mpya/mdogo
2.Mtoto huchagua mzazi, huamua kuwa huyu anafaa kuwa mzazi.

Pia, kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na bond kati ya spiriti inayoishi na ile iliyo katik dimension nyingine, bond hiii huweza kujengwa kupitia njia nyingi ikiwemo MAJINA , yaani tabia,hulka huweza kupasishwa kutoka mmoja kwenda mwingine. Pia, suala la bond ikiwa strong ndio itafika hadi ktk mwili wa hisia na kumbu kumbu.

Majina ni swala moja zipo aspect nyingi tu, kama majira ya kuzaliwa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo yupo spiritual zaidi sio psychology
 
kuna huyu mwandishi wa SciFi, H.G.wells maandishi yake ni unabii tosha. Mi nadhani ni kuumiza kichwa kwenye ubunifu na coincidence tu.
 
Nilikuwa nikifatilia mafunzo ya mwana saikolojia, theorojia mmoja. Alipata kusema ya kuwa

1.Mtoto si kiumbe kipya, bali ni kiumbe cha mwili mpya/mdogo
2.Mtoto huchagua mzazi, huamua kuwa huyu anafaa kuwa mzazi.

Pia, kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na bond kati ya spiriti inayoishi na ile iliyo katik dimension nyingine, bond hiii huweza kujengwa kupitia njia nyingi ikiwemo MAJINA , yaani tabia,hulka huweza kupasishwa kutoka mmoja kwenda mwingine. Pia, suala la bond ikiwa strong ndio itafika hadi ktk mwili wa hisia na kumbu kumbu.

Majina ni swala moja zipo aspect nyingi tu, kama majira ya kuzaliwa n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwanasaikolojia/Theologian,ni Dr.ellie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I
Uncleben upo sahihi kuangalia kwa umri huo.
The Simpsons it is an adult focused sitcom not for kids.
Watoto hawaruhusiwi kuangalia the show kwa sababu ina maadili mabaya.
I bet you on my last dime hauangalii anime 😂😂😂☺️
 
Deja Vu inakuwa ni matukio ya past kweli? Hata mimi nilihisi inaweza kuwa Deja Vu lakini deja vu kama nakumbuka vizuri inakuwa ni tukio ambalo lipo wakati huo ni unahisi kama ulishaliona kabla hivo hivo.

Yaani part of our brain pick up signals about what's going to happen before they happen and when our consciousness notices what's going on we think it's happened before? Am I correct?

Sasa case yangu nilikuwa naona ilikuwa hivi japo kwa wakati huo haipo hivo tena kuna mabadiliko. Mfano nakumbuka sehemu fulani palikuwa na mti ila sasa ni nyumba.

Halafu hawa Monks natamani sana siku nikiweza nikafanye ziara. Na kumbuka kitabu cha "The Monk Who Sold His Ferrari". Natamani kujua kama inafanya kazi kweli nianze meditation.
Inaonekana Buddhist monks wana siri nyingi sana.

Below 40, you've earned my respect. Yo Smart.
Hii dunia ina mambo mengi sana sema huwa najiuliza why Buddhism haijaenea Europe au africa ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom