Simple equation inayoitesa CCM na Taifa

Ukweli mchungu ni kwamba wananchi bado wanaiunga mkono CCM na bila kupepesa macho nakuhakikishia CCM ikisambaratika leo basi ujue hatuNa chama chochote kitakachoweza kuongoza Nchi hii. Na usiombee hilo litokee.
Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.

Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .

As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wanahitaji mabadiliko Na mbaya zaidi bado hayajapatikana.kilio hiki kitaendelea
 
Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.

Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .

As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Si majority ya watanzania wanaotaka kuturudisha mfumo wa chama kimoja, ni ka kikundi ka watu kama 15 tu hivi wenye mamlaka ndiyo wanataka hili yafanyike, wanachi wamechoka na mbaya zaidi hawana pa kusemea!!
 
Kakistocracy at work! Mwambie awe anaweka akiba ya maneno! Taharuki aliyoizusha kwa wageni ukumbini haikuwa ndogo na hawakuipuuza hasa ukizingatia ana ban ya kutoikanyaga US!
Alichokiongea kimekubalika na aliyemteua
 
Back
Top Bottom