Simple equation inayoitesa CCM na Taifa

Mkuu Kagoshima, wananchi wepi hao unao wazungumzia wanaotaka chama mbadala wa CCM?.
Kipimo cha wananchi kutaka chama mbadala ni kipi?.
Tujifunze kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, chama kipate ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% halafu useme watu wanataka chama mbadala. Kipimo pekee cha sauti ya watu ni kupitia kwenye sanduku la kura, natumaini kazi nzuri kwenye serikali za mitaa umeiona, October inakwenda kukamilika kwenye uchaguzi mkuu na wembe uliotumika kunyolea kwenye serikali za mitaa, unakwenda kutumika kwenye uchaguzi mkuu!.
P
Mkuu huo uchaguzi ambao CCM walipata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9 ulifanyika mwaka gani? na ulikuwa ni uchaguzi wa nini?.
 
Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.

Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .

As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Mkuu mtazamo wako unaweza ukawa sahihi lakini, sikubaliani na wewe kwenye bandiko lako unapo ongelea siasa safi ,.mapokeo ya wananchi juu ya vyama pinzani haimanishi kwamba hivyo vyama vina siasa safi hapana,
 
Hata Magufuli mwenyewe hakihitaji chama cha CCM anahitaji chama mbadala, CCM anasema ni chama cha majizi na hakusema chagua CCM alisema chagua Magufuli.
 
wape salaam. waambie hatuwezi kurudi mfumo wa chama kimoja: ama zao ama zetu.
 
Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.

Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .

As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitajo letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalama
 
Ukweli ni kwamba wananchi wanataka chama mbadala wa CCM kuongoza inchi. Ndiyo maana kila chama cha upinzani kinapoibuka huwa na nguvu sana kiushidani. Na CCM imekua ikitumia raslimali nyingi pamoja na vyombo dola kubaki madatakani na kujaribu kuua upinzani kila unapopata nguvu. Na hapo ndipo kama taifa mtego ulipo. Hili taifa haitakuja liendee kama mfumo huu wa siasa hautobadilika. Kumbuka ili taifa liendelee tinahitaji siasa safi pia.

Anzia NCCR ya Mrema, CAF ya Maalim na Lipumba na sasa CHADEMA katika nyakati tofauti Serikali zinazo ongozwa na CCM zimetumia resource kubwa kuhakikisha opposition parties zinakufa. Resources zikitumika kudhofisha chama A chama B kinapata nguvu ukihamishia resources kuua chama B chama C kinaibuka kwani ni matakwa ya wenye inchi .

As a result miaka nenda rudi sehemu kubwa ya esources za inchi zitakua zinatumika kukandamiza na kuuwa upinzani utakaokuwa unaibuka kwa namna nyingine. Kwa kuwa hivyo Tanzania haitokuja ipige hatua kubwa kimaendeleo. Suruhisho either turudi mfumo wa chama kimoja au turuhusu democrasia ya kweli. Kubaki vuguvugu hivi ni hasara kubwa kwa taifa ingawa yaweza kuwa faida kwa CCM na familia zao.
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitaji letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalama
 
Boss kagoshima Unaelewaje hizi Kauli mbili aka 2 ??? !!!
1. Ole wenu Mkurugenzi na Wasimamizi, mtangaze Upinzani ... Mishahara nawalipa mimi, magari nawapa mimi ... endelea ...
2. Chaguzi za Serikali za Mitaa ... tulishinda kwa 99.9%, Uchaguzi Mkuu tutashinda kwa 100%.

Mwisho, Kwa mfano tu, CCM ije kushinda kwa 100% ina maana gani ??? !!! Si Chama kimoja ndicho kimeshinda???? !!!
Hauoni ndio Mfumo wa Chama Kimoja Indirect??? !!!


Kikarara78,
Chief . you are very wrong. Think deep. To be permanent what you are planning for october has to be constitutional . Kitakachotokea October is very temporal. Ubabe , vitisho, rushwa, manunuzi ya wapizani vitatawala je hilo ndo takwa la watanzania? Nakuambia hivi kuna kundi kubwa la raia ambao hawajawahi kupigia kura CCM hawa utawaweka wapi hiyo October.

Nakuambia serikali ya CCM hawawezi hata siku moja kubadilisha sheria ili inchi irudi mfumo wa chama kimoja. Wanaogopa mabeberu. Kitakacho tokea ni kuendelea kutumia kodi za watanzania kurubuni na kukandamiza upinzani. Jinsi tunavyoendelea ndivyo resources nyingi zitaongezeka kulinda chama dola huku inchi ikiendelea kuning'inia kwenye umaskini.
 
Mkuu Kagoshima, wananchi wepi hao unao wazungumzia wanaotaka chama mbadala wa CCM?.
Kipimo cha wananchi kutaka chama mbadala ni kipi?.
Tujifunze kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, chama kipate ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% halafu useme watu wanataka chama mbadala. Kipimo pekee cha sauti ya watu ni kupitia kwenye sanduku la kura, natumaini kazi nzuri kwenye serikali za mitaa umeiona, October inakwenda kukamilika kwenye uchaguzi mkuu na wembe uliotumika kunyolea kwenye serikali za mitaa, unakwenda kutumika kwenye uchaguzi mkuu!.
P
 
Mkuu huo uchaguzi ambao CCM walipata ushindi wa kishindo wa asilimia 99.9 ulifanyika mwaka gani? na ulikuwa ni uchaguzi wa nini?.
Kwanza walikuwa wanashindana na kina nani? Unajuwa hawa CCM akili zao zinazidiwa na mtoto wa chekechea kabisa.
 
Siasa safi iko ndani ya CCM, na maendeleo yanaonekana, kumbuka Magufuli wa leo ni matokeo ya Upinzani ,huyu ndie Rais tuliemhitaji kama Taifa na Mungu katupa hitajo letu, mtangulizi wake mlimwita Dhaifu akawaletea Jembe Sasa munalalama
Hawa CCM wanaotwanganaga kila siku kwenye chaguzi za ndani na kwenye Vikao vyao vya ndani? Subiri kura za maoni zianze tena utaona. CCM ni chama kinachoendaga kwenye uchaguzi kikiwa na majeraha mengi ya ndani na mgawanyiko mkubwa. Rushwa na kujipendekeza kwenye teuzi na kura za maoni, ndio walimu hasaa. Sijui siasa safi zipi unazozungumzia.

Washukuru sana vyombo vya dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli anakurupuka kubadilisha sheria za madini tutashitakiwa MIGA ~~~ Lisu
IMG_20200224_083150.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa CCM wanaotwanganaga kila siku kwenye chaguzi za ndani na kwenye Vikao vyao vya ndani? Subiri kura za maoni zianze tena utaona. CCM ni chama kinachoendaga kwenye uchaguzi kikiwa na majeraha mengi ya ndani na mgawanyiko mkubwa. Rushwa na kujipendekeza kwenye teuzi na kura za maoni, ndio walimu hasaa. Sijui siasa safi zipi unazozungumzia.

Washukuru sana vyombo vya dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakitoka hapo ,wanakuwa wamoja huo ndio ukomavu ,vp huko kwenu ikitokea hivyo anayeshindwa lazima aole.... tu
 
Mkuu Kagoshima, wananchi wepi hao unao wazungumzia wanaotaka chama mbadala wa CCM?.
Kipimo cha wananchi kutaka chama mbadala ni kipi?.
Tujifunze kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, chama kipate ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% halafu useme watu wanataka chama mbadala. Kipimo pekee cha sauti ya watu ni kupitia kwenye sanduku la kura, natumaini kazi nzuri kwenye serikali za mitaa umeiona, October inakwenda kukamilika kwenye uchaguzi mkuu na wembe uliotumika kunyolea kwenye serikali za mitaa, unakwenda kutumika kwenye uchaguzi mkuu!.
P
Sijui unamaanisha nini paskali. Either you are jocking or you pretend to be blind. Or else unapiga kijembe kwamba wananchi ni dhaifu kwamba iweje CCM wafanye ubaradhuli ule serikali za mitaa bado wananchi tukakaa kimya ? Uoga wa vyombo vya dola ambayo ndiyo kinga ya CCM. Kumbuka Yale yalikua maagizo ya mwenyekiti wa CCM aliyepiga marufuku wapinzani kufanya siasa. Ninachosema ni kwamba pamoja na uoga wa wananchi. Mwendo ni uleule wataendelea kuunga mkono kila upinzani unapojitokeza na Serkali ya CCM itaendelea kutumia resource za inchi kujaribu kuua upizani husika in kind of a vicious cycle which will make us as a nation remain stagnant
 
Pia, una scandal fulani mbaya sana wewe na mwalle.
Sishangai kwanini unaweza kuandika upupu, CCM itatawala milele.
Something is wrong in your brain cells.
Usilete tabia za kike kwenye mijadala serious, unaleta umbea wa kuzungumzia scandal fulani mbaya ili uulizwe ndio utiririke, JF ni user generated forum una kitu unafungulia thread unaweka sio kuja kwenye mada zisizohusu, mimi always niko frank, open na transparent, una lolote kuhusu mimi be free kulisema, usijifiche chini ya mwamvuli wa umbeya wa scandal fulani mbaya, ifungulie tuu uzi watu waijue.

Humu jf tunabishana kwa hoja, nimetoa hoja ya CCM kutawala milele, na nikaweka hoja zangu, hivyo uko huru kuziita upupu, hata kuziita pumba, lakini kama hujapangua hoja kwa hoja, hakuifanyi CCM isitawale milele!.
Tena nakusisitizia kuwa CCM itatawala milele, kama una hoja mbadala pangua vinginevyo ukweli ndio huu

P
 
Sijui unamaanisha nini paskali. Either you are jocking or you pretend to be blind. Or else unapiga kijembe kwamba wananchi ni dhaifu kwamba iweje CCM wafanye ubaradhuli ule serikali za mitaa bado wananchi tukakaa kimya ? Uoga wa vyombo vya dola ambayo ndiyo kinga ya CCM. Kumbuka Yale yalikua maagizo ya mwenyekiti wa CCM aliyepiga marufuku wapinzani kufanya siasa. Ninachosema ni kwamba pamoja na uoga wa wananchi. Mwendo ni uleule wataendelea kuunga mkono kila upinzani unapojitokeza na Serkali ya CCM itaendelea kutumia resource za inchi kujaribu kuua upizani husika in kind of a vicious cycle which will make us as a nation remain stagnant
CCM ndio hii inatawala milele na maendeleo haya ya kuonekanika tunayaona, ndege huzioni?, barabara za juu kwa juu huzioni?, SGR huioni, Stigler kazi imeanza, stagnation gani unayoizungumzia wewe wakati tunapaa na Tanzania ya viwanda?.
P
 
Back
Top Bottom