kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,333
- 6,454
- Thread starter
- #61
Hapana hiyo siyo kutupeleka chama kimoja. Kumbuka kitakachofanyika October ni matakwa ya mtu mmoja. Mwenyekiti wa CCM ambaye anasumbuliwa na ugonjwa wa kukubalika. Anataka ionekane anakubalika. Whatever the outcome upinzani ndani ya wananchi utabaki underground ukisubiri the right time uibuke tena . ndo maana nimesema vifutwe kisheria kitu CCM haiwezi kufanyaBoss kagoshima Unaelewaje hizi Kauli mbili aka 2 ??? !!!
1. Ole wenu Mkurugenzi na Wasimamizi, mtangaze Upinzani ... Mishahara nawalipa mimi, magari nawapa mimi ... endelea ...
2. Chaguzi za Serikali za Mitaa ... tulishinda kwa 99.9%, Uchaguzi Mkuu tutashinda kwa 100%.
Mwisho, Kwa mfano tu, CCM ije kushinda kwa 100% ina maana gani ??? !!! Si Chama kimoja ndicho kimeshinda???? !!!
Hauoni ndio Mfumo wa Chama Kimoja Indirect??? !!!