Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa.
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Hongera kwa kulikemea hili ndugu Makonda.
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Hongera kwa kulikemea hili ndugu Makonda.