kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100% nitawalaani mpaka kaburini
Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo
KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona
PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu Airports
TATU mlikua mnaidharau Corona Rais na Makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona. Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!
NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?
TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe
SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi
Sasa hivi mmeona hali ni mbaya Mloganzila imejaa ndio mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu
Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo
KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona
PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu Airports
TATU mlikua mnaidharau Corona Rais na Makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona. Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!
NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?
TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe
SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi
Sasa hivi mmeona hali ni mbaya Mloganzila imejaa ndio mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu
Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini