guardiola

Josep "Pep" Guardiola Sala (Catalan pronunciation: [ʒuˈzɛb ɡwəɾðiˈɔlə]; born 18 January 1971) is a Spanish professional football manager and former player, who is the current manager of Premier League club Manchester City. He is often considered to be one of the greatest managers of all time and holds the record for the most consecutive league games won in La Liga, the Bundesliga and the Premier League.Guardiola was a defensive midfielder who usually played in a deep-lying playmaker's role. He spent the majority of his career with Barcelona, forming a part of Johan Cruyff's Dream Team that won the club's first European Cup in 1992, and four successive Spanish league titles from 1991 to 1994. He later captained the team from 1997 until his departure from the club in 2001. Guardiola then had stints with Brescia and Roma in Italy, Al-Ahli in Qatar, and Dorados de Sinaloa in Mexico. He was capped 47 times for the Spanish national team and appeared at the 1994 FIFA World Cup, as well as at UEFA Euro 2000. He also played friendly matches for Catalonia.
After retiring as a player, Guardiola briefly coached Barcelona B, with whom he won a Tercera División title, and assumed control of the first-team in 2008. In his first season as the first team manager, he guided Barcelona to the treble of La Liga, Copa del Rey and UEFA Champions League. In doing so, Guardiola became the youngest manager to win the aforementioned European competition. In 2011, after leading the club to another La Liga and Champions League double, Guardiola was awarded the Catalan Parliament's Gold Medal, their highest honour. The same year, he was also named the FIFA World Coach of the Year. He ended his four-year Barcelona stint in 2012 with 14 honours, a club record.
After a sabbatical period, Bayern Munich announced Guardiola would join the club as manager in 2013. Guardiola won the Bundesliga every season he was there, as well as two domestic doubles. He left the Bavarians for Manchester City in 2016, and guided them to a Premier League title in his second campaign in charge, breaking numerous domestic records as the team became the first to attain 100 league points. He won a second consecutive Premier League and EFL Cup the following season, as well as the FA Cup, becoming the first manager to win the domestic treble in English men's football.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Guardiola asikitika kuondoka kwa Klopp japo adai sasa angalau ataweza kulala.

    Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema ameshangazwa na uamuzi wa kocha wa klabu ya Liverpool ya Uingereza Urgen Klopp kuamua kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu huu. Klopp amesema amefikia uamuzi huo kwa kile alichodai kwamba ni swala la uchovu. Lakini hata hivyo kocha Guardiola...
  2. BigBro

    Guardiola aliposhindwa mujibu swali la Henry

    Thierry Henry alimuuliza Pep Guardiola ni timu gani Bora kwake aliyotwaa nayo mataji matatu kwa msimu kati na Manchester City na Barcelona. Hichi ndio alichojibu Guardiola.
  3. JanguKamaJangu

    Man City na Liverpool ngoma yaisha kwa sare ya 1-1, Guardiola na Nunes warushiana maneno

    ManchesterCity imeendelea kushika usukani wa Premier League kwa kufikisha pointi 29 licha ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 katika mchezo dhidi ya Liverpool yenye alama 28 kwenye Uwanja wa Etihad, leo Novemba 25, 2023 Erling Haaland amecheka na nyavu upande wa City dakika ya 27 huku...
  4. Pdidy

    Kama Seleman Matola yuko Simba, Mtabadili kila kocha hata aje Pep Guardiola

    Si kwa nia mbaya maana nilisema hivi huko nyuma wakati anaondoka madevu simba na leo narudia tena kama matola bado yuko simba mtabadili kila aina ya kocha na hamtafanikiwa ...kama mlimpeleka shule aje kuwa kocha mkuu mtavuna mlichopanda naomba muweke hili kwenye kumbukumbu yaan akija yoyote...
  5. JanguKamaJangu

    Pep Guardiola aangua kicheko kuhusu kiwango cha Manchester United

    Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ametoa kicheko hicho alipoulizwa swali wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kiwango cha wapinzani wao, Manchester United jinsi walivyoanza msimu wa 2023-24. Baada ya kucheka, Guardiola akasema “Hawakuanza kama walivyotarajia ni kama ilivyo kwa...
  6. Dalton elijah

    Pep Guardiola has today undergone a routine operation on a back problem

    The Manchester City boss has been suffering with severe back pain for some time lately, and flew out to Barcelona for emergency surgery performed by Dr Mireia Illueca. The surgery was a success, and Pep will now recover and rehabilitate in Barcelona. In his absence, assistant manager Juanma...
  7. BARD AI

    Pep Guardiola: :Uwekezaji wa Saudi Arabia unaleta changamoto ngumu kwenye Soka la Ulaya"

    Kauli hiyo inafuatia Winga kutoka Algeria, Riyad Mahrez kujiunga na Al-Ahli ambapo Pep ameeleza kuwa uwekezaji wa Matajiri hao wa Mafuta unaolenga kujenga Ligi ya kipekee huko Uarabuni unaleta changamoto mpya na ngumu katika Soka la Ulaya. Pep amesema "Saudi Arabia imebadilisha soko, wakati...
  8. M

    Simpendi Guardiola na mimi siyo shabiki wa man city ila nawaombea kwa Mungu washinde

    Katika historia ya Uefa champion's league mechi mbili tofauti ambazo zilivunja mioyo ya watu ni fainali 1999 Manchester united vs Bayern na nusu fainali mwaka jana 2022 Man City vs Real Madrid. Ilivunja sana mioyo ya mashabiki wa Man City walipokuwa na uhakika kabisa wanaenda fainali kukutana...
  9. D

    Pep Guardiola atamchelewesha sana Haland kufika

    Kwanini alimtoa Halland jana wakati alihitaji goli moja kuvunja rekodi ya Messi? Au Pep ni mshabiki wa messi ambaye anajaribu kuzuia rekodi zake zisivujwe? Jamaa kwa kweli anazingua sana. Jamaa amekeua akimpunguzia sana Haland mabao. Kwa haraka hata goli 10 za ziada angelikua nazo kwa sasa...
  10. Maghayo

    Guardiola kwa aibu achezesha Waafrika Mancity lakini bado hatujaridhika

    Mzuka Wanajamvi! Baada ya kelele na malalamiko Pep Guardiola kocha wa timu ya mpira ya ligi kuu ya Uingereza Manchester City amewapa nafasi za kudumu na kuwachezesha waafrika wawili Ake na Manuel Akanji. Wachezaji hao wanacheza katika safu ya ulinzi na wameweza kumudu vyema. Kwa hilo...
  11. Aaron Arsenal

    Pep Guardiola na Mapinduzi ya Soka

    Kwasasa mpira umebadilika sana tofauti na enzi za kina Ferguson, Arsene Wenger n.k miaka ya 2000s. Moja ya watu walioleta mapinduzi ya soka ni Pep Guardiolaz, huyu ana wanafunzi wake wengi sana aliokaa nao na wanaoiga uchezaji wake, kina Xavi Hernandez, Mikel Arteta, Erik Ten hag, n.k Moja ya...
  12. T

    Miamba ya soka ya Africa, Al Ahly wanamfuatilia kwa karibu kocha wa muda wa Simba Sc, Mheshimiwa Juma Guardiola Mgunda ili waweze kuinasa saini yake

    Amani iwe nanyi: Nimepokea taarifa za kushtusha kutoka katika chanzo changu cha kuaminika nchini Misri ikieleza kuwa Rais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud Ibrahim Ibrahim El Khatib ni mfuatiliaji mkubwa wa mechi za Simba Sc na amekuwa akikoshwa na uchezaji wa timu ya Simba toka kocha Guardiola...
  13. VERDAD

    Pep Guardiola kweli ni mbaguzi wa rangi?

    Kumekuwa na shutuma nyingi sana zikimuhusisha kocha huyu bora kabisa kuwahi kotokea ulimwenguni na ubaguzi dhidi ya watu weusi na karibuni alihusishwa na Yaya Toure, je lina ukweli hili ama shida tu ya kisaikolojia ya sisi watu weusi?
  14. let the caged bird sings

    Guardiola the machine

    Absolutely amazing scenes at the Etihad. Last time I saw this was at the same Etihad in 2012 And yesterday I couldn't resist my tears after observing Gudiola in tears. Actually it was my first time to see This Spanish dude in that situation. And then where are they those morons used to...
  15. T

    Ifikie mahali Sir Pep Guardiola apewe tu heshima yake

    Ahlan wa sahlan Wakati ulimwengu ukifurahia kuwaona wachezaji magwiji wawili walioitikisa dunia ,namaanisha Mreno Sir Cristiano Ronaldo na Sir Lionel Messi, tunasahau kuwa hakuna kocha aliyewahi kufundisha mpira wa burudani na wa ushindi kama Mhispania Sir Pep Guardiola. Sir Guardiola hapewi...
  16. Greatest Of All Time

    Guardiola: Kuna wachezaji wanafanya timu zicheze vizuri lakini hawapo kwenye takwimu

    Kocha wa Man City, mwalimu Pep Guardiola amesema kuna wachezaji wanafanya timu ziweze kucheza vizuri lakini hawaimbwi sana kwakuwa hawapo kwenye takwimu nzuri za kuvutia yaani magoli au assist nyingi. Hebu tuwataje wachezaji ambao Guardiola alijaribu kuwamaanisha! Mimi naanza na Joshua Kimmich...
  17. jiwe gizani

    Guardiola na laana ya wachezaji wa Kiafrika

    Mwaka 2018 wakala wa Yaya Toure alisema kua"Miungu ya kiafrika haitamuacha Guardiola ashinde CL miaka ijayo hii Itakua Kama laana ya kiafrika nawaambieni mda tu ndo utaongea kama nipo sahihi au laa" Leo guardiola kapoteza fainali ya UEFA dhidi ya Chelsea naona Kama laana ya kiafrika imemshukia...
  18. W

    Chelsea mabingwa wapya UEFA 2020/2021

    Ni kweli mbinu za Thomas zitawasumbua makocha wengi barani Ulaya au ndo kakutana na ganda la ndizi? --- Chelsea win the Champions League with a 1-0 victory over Manchester City in Porto Credit: Alexander Hassenstein/Uefa via Getty Images Nothing less than a revolution against the Pep...
  19. R

    Guardiola hana kosa Aguero ndio katibua

    Habar wadau Kila kona ni malalamiko leo mikeka imechanika na mbaya zaid game ya simba vs yanga imepigwa chin na kiingilio ushalipia toka saa 2 asubuh watu wapo uwanjan wakasema saa 1 gafla wakasema hakuna kitu halaaaaa Ebu twende kwenye mada ukifuatilia media za nje watu wanamlaumu...
Back
Top Bottom