Na ukweli mwingine ambao tunajifanya hatuuoni ni kwamba, hawa ma-housegirl wananyanyaswa hata hapa kwao! Unyanyasaji unofanywa na baadhi ya Waarabu kule Arabuni unafanywa hata na baadhi ya Watanzania wenzetu waliopo Tanzania. Kuna Wasichana wengi tu wanachukuliwa mikoani na kupelekwa Dar kwa ahadi ya kufanya kazi za ndani lakini wakifika kule wanafanyishwa kazi ya ukahaba lakini tunajifanya hilo hatulioni!HUYU WAZIRI NI KILAZA SANA. NI BORA UKAFE NA NJAA DUBAI KULIKO KUFA KIZEMBE BONGO.
FURSA ZOTE WAMEZIBA HAKUNA ANAYEPENDA KUJILIPUA HUKO UARABUNI.
NA SIO WOTE WANAOENDA UARABUNI WANATESWA HUO NI UONGO.
2016 PALE UBALOZI WA OMAN PALIKUWA PANASOMA KUNA WATANZANIA ZAIDI YA ELFU 4 WANAFANYA KAZI OMAN.
LEO HII HATA ELFU 10 WATAKUWA WAMEFIKA NA WOTE WANATUMA HELA NYUMBANI.