minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Uhamiaji nao ni wasumbufu kwa wageni piaWaziri katoa matamko mazuri, tusubiri utekelezaji..
Uhamiaji nao ni wasumbufu kwa wageni piaWaziri katoa matamko mazuri, tusubiri utekelezaji..
Maana Yake Hali Siyo Shwari!! Police, Immigration Watu Wanawaza Kuwaumiza WenzaoNini Tafsiri ya walinzi wa amani kushiriki vitendo vya kihalifu ??
Naunga Mkono Acha Police, Immigration, DED Na Wengine Wa Aina Hiyo Wanywee Hicho Kikombe Kilichofurika Na KusukwasukwaKipindi cha kampeni hizo Airport zimetumika kuwasumbua wapinzani sana kupitia hao hao Asikari ambao wamezoea kusumbua watu mno
Rushwa na polisi, hasa traffic, uhamiaji ni kama pete na kidole..Uhamiaji nao ni wasumbufu kwa wageni pia
Mate Na UlimiRushwa na polisi, hasa traffic, uhamiaji ni kama pete na kidole..
Ndiyo Raha Wanazopenda Hizo“Waziri Simbachawene akiwa kwenye kikosi cha anga, alipata wasaha wa kuruka kwa helikopta kuzunguka sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam kwa takribani dakika 40 “
Majambazi kama hao wamejaa kwenye vyombo vyetu vya usalama. Ile vetting iliyokuepo enzi ya nyerere chondechonde irudishwe kwa ukamili. Siku hizi mtu anaingia jeshi la polisi kwa lengo la kutajirika kwa kula rushwa na kwa kusaidia vitendo vya uhalifu. Kuna majambazi kibao kwenye polisi.Angalau wewe umetumia akili kuliko wengine wanaotumia chuki binafsi dhidi ya askari kusapoti usanii.
Pale pa kuondokea huwa wanakuuliza unaenda kufanya nini? Ukijichanganya tu imekula kwako ijapokua viza inaeleza hilo lakini bado utahitajika supporting documentBado sijamwelewa waziri wangu. Ina maana hao askari ndio wanatoa passports na viza kwa hao wasafiri, au?! Tuseme mtu kenda zake uhamiaji, kapata passport, kisha anaenda ubalozi, nako anapata viza. Kwahiyo mtu kama huyo akifika pale airport hao polisi walitakiwa kumdiswa kwa sababu anaonekana anaenda kwenye hizo nchi, au?!
Muunganiko huoNini Tafsiri ya walinzi wa amani kushiriki vitendo vya kihalifu ??
Nini Tafsiri ya walinzi wa amani kushiriki vitendo vya kihalifu ??
Hizo ni expected questions ambazo watu wanafundwa vema kabla ya kufika hapo airport kwa sababu maswali kama hayo unaulizwa hata wakati wa kwenda kukata passport kwa mara ya kwanza.Pale pa kuondokea huwa wanakuuliza unaenda kufanya nini? Ukijichanganya tu imekula kwako ijapokua viza inaeleza hilo lakini bado utahitajika supporting document
Mbona taarifa ya kuchapa viboko haifanyiwi kazi?Acha kulipuka,siyo Kila taarifa inafanyiwa kazi.Police mlioko humu waambieni wenzenu huko ma officini wenye makandokando yao waache Mara moja maana Magufuli safari hii kaamua kweli,kila taarifa itafanyiwa kazi,ni swala la muda tu!!
HUYU WAZIRI NI KILAZA SANA. NI BORA UKAFE NA NJAA DUBAI KULIKO KUFA KIZEMBE BONGO.Bado sijamwelewa waziri wangu. Ina maana hao askari ndio wanatoa passports na viza kwa hao wasafiri, au?! Tuseme mtu kenda zake uhamiaji, kapata passport, kisha anaenda ubalozi, nako anapata viza. Kwahiyo mtu kama huyo akifika pale airport hao polisi walitakiwa kumrudisha kwa sababu anaonekana anaenda kwenye hizo nchi, au?!