Simbachawene aagiza kukamatwa kwa Askari 5 wa Uwanja wa JNIA kwa uhalifu wa kusafirisha binadamu

Na ukweli mwingine ambao tunajifanya hatuuoni ni kwamba, hawa ma-housegirl wananyanyaswa hata hapa kwao! Unyanyasaji unofanywa na baadhi ya Waarabu kule Arabuni unafanywa hata na baadhi ya Watanzania wenzetu waliopo Tanzania. Kuna Wasichana wengi tu wanachukuliwa mikoani na kupelekwa Dar kwa ahadi ya kufanya kazi za ndani lakini wakifika kule wanafanyishwa kazi ya ukahaba lakini tunajifanya hilo hatulioni!
Fact ya kunyanyaswa sio kigezo Cha kuzuia watu kutafuta maisha, Kama ni hivyo tuanze kuzuia watokao vijijini wanaokuja mijini kunyanyaswa na wake zetu hawa wasiojitambua na kuheshimu utu wa mtu.
Tumeshuhudia wakiwatukana,
Kuwapiga
Kuwabagua,
Kuwazulumu mishahara
Kuwanyima haki za ibada
Kuwaumiza kisaikolojia stress zote za familia ubebeshwa wao.
Mimi naona sisi waswahili ndo tunawanyanyasa Sana madada wa Kazi kuliko hata huko arabuni.
 
Tumeshindwa wapa ajira nchini, tuexport nje wakapate ajira nje,kama China inavyowaexport watu wake nje kusaka pesa kuijenga china
 
unaona hapa pia kakurupuka,hii ndio tatizo la siasa na taaluma za watu.

anashindwa kujua kwamba jukumu la kuutangazia uma hali ya usalama wa raia na mali zake ni la polisi nchini,si taasisi nyingine.

kwahiyo kutokumwona askari wa zimamoto nyuma ya rpc haina maana taarifa rpc kaziokota kwenye njiapanda,zimeletwa mezani kwake na watu wa zimamoto wamepeleka maelezo.
Mpaka waziri kuliongelea hilo ujue kaoewa taarifa so siyo kila kitu viongozi wanakuruouka ndugu, sometime tukubali/tuheshimu ulichoAndika hapo taaluma za watu.
 
Mpaka waziri kuliongelea hilo ujue kaoewa taarifa so siyo kila kitu viongozi wanakuruouka ndugu, sometime tukubali/tuheshimu ulichoAndika hapo taaluma za watu.
haliwezi kuwa jambo lenye ukweli hili.

kama umeshawahi kuchunguza hata taarifa za jambo fulani la kiusalama zikiwa hazijakamilika utasikia kanda wa polisi mkoa husika anatamka wazi,(uchunguzi bado unaendelea).
ni kosa kubwa rpc kutoa taarifa ambazo hazijathibitishwa,maana tamko lake ni sehemu ya mwenendo wa kesi au maamuzi fulani.

eneo la tukio la ajali ya moto wanafika askari wote kwa wakati mmoja,inapokwenda kuwasilishwa hakuna ripoti zinaachwa nyuma,waziri nayeye ni mtu kama walivyo kina kangi au makonda.
 
Back
Top Bottom