Wajuvi naomba mnijuze maana wote tunajua hizi timu kubwa huwa wanakula mwewe kwenye kila safari
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.
Je, simba kutoka Kigoma kwenda Tabora walitumia usafiri gani?
Na kutoka Tabora kwenda Mwanza itatumia usafiri gani?
Maana sina hakika kama ndege za Tanzania airways zinafika Tabora.