Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,505
- 27,501
Mpira hauchwezwi kwenye mdomo.
Captain Mohamed Hussein a.k.a Tshabalala alianza tambo mapema "tunapiga treble ya makombe matatu".
Wanaojua mpira hawakumuelewa kabisa. Wakajiuliza mbona anatukana mamba kabla hajavuka mto?
Msemaji wao Ahmed Ali naye akadandia hiyo hoja kichwa kichwa wakajipa ujasiri wa kizembe complacency badala 'wagangamale' kiume.
Inavyo onekana Simba wasipojikaza kiume watapiga treble ya kukosa makombe yote matatu waliyo tegemea msimu huu. Yaani kukosa CAF Confederation Cup, NBC Premier League Cup, na CRDB Confederation Cup.
Kinyume chake watani wao Yanga wanaweza kupiga treble ya makombe matatu. Yaani NBC Premier League Cup, CRDB Confederation Cup na Muungano Cup endapo TFF, Bodi ya ligi na akina Tatu Malogo(Waamuzi) wasipo wasaidia Simba.
Matusi ruksa, kumbuka tu ukinitukania wazazi wangu basi tusi hilo liwaendee wazazi wako mara 7.
Captain Mohamed Hussein a.k.a Tshabalala alianza tambo mapema "tunapiga treble ya makombe matatu".
Wanaojua mpira hawakumuelewa kabisa. Wakajiuliza mbona anatukana mamba kabla hajavuka mto?
Msemaji wao Ahmed Ali naye akadandia hiyo hoja kichwa kichwa wakajipa ujasiri wa kizembe complacency badala 'wagangamale' kiume.
Inavyo onekana Simba wasipojikaza kiume watapiga treble ya kukosa makombe yote matatu waliyo tegemea msimu huu. Yaani kukosa CAF Confederation Cup, NBC Premier League Cup, na CRDB Confederation Cup.
Kinyume chake watani wao Yanga wanaweza kupiga treble ya makombe matatu. Yaani NBC Premier League Cup, CRDB Confederation Cup na Muungano Cup endapo TFF, Bodi ya ligi na akina Tatu Malogo(Waamuzi) wasipo wasaidia Simba.
Matusi ruksa, kumbuka tu ukinitukania wazazi wangu basi tusi hilo liwaendee wazazi wako mara 7.