Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Simba wanaelekea kuongeza lingine wanafanya mashambulizi ila yanga wapo wanazuia tu tena wanamtegemea nadhir
 
wakuu mlioko taifa,tunawategemea kwa matokeo simba vs yanga
 
Wakuu leteni taarifa zenye kueleweka ili nasi tulio mbali na uwanja tujue bila kuuliza mara mbili mbili.
 
Big up star tv

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wanabodi, niko mahali, naangalia mechi, SS!, kusema ukweli, hizo kamera zinazotumika hapo, ziangalieni hivyo hivyo tuu, Tanzania hatuna hata kituo kimo cha TV chenye hata nusu ya quality ya kamera hizo!.

By the way , nimemuona mtangazaji binti kidoti wa SS na Florian Kaijage, kiukweli wako juu!.
Hapa nilipo, maeneo fulani ukanda wa Gaza (ya bongo), baada ya Simba kufanya mambo, ukumbi mzima ulishangilia as if wote hapa ni washabiki wa Simba!. Katikati ya ushangiliaji, kuna mwendawazimu mmoja akachomekea "nani CCM?", ukumbi wote kimya!, jee inawezekana Yanga ni CCM halafu Simba ni ..., no wonder kwa nini naipenda Simba!.

P.
 
Angalau mambo yanakwenda kama ninavyoomba acha hizi panadol nitupe maana mtani kesha peleka kijani kibra
 
Back
Top Bottom