Simba vs Tiger

Mkuu umeongelea wanyama watatu tofauti huyo anayebeba mamba si chui Ni Jaguar na wale si mamba km Hawa wa Africa ,
Huyo anayeruka juu Hadi kukamata ndege Ni Duma( cheatter) km sijakosea spelling
Tiger wanapatikana India kiuwezo hawezi kimfikia Simba
Simba Ni habari nyingine

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
We nae unachanganya madesa. Uko tanapa ni lazima utawajua big five, sasa kwani kuna pori la tanapa lina tiger? Utamjuaje wakati hayuko kwenye mapori ya tanapa?
 
Kuwa na spirit ya kupambana haimaanishi lazima ushinde ni sawa uchukue mtaleban eti kisa ana roho ngumu na spirit ya kupambana kuwa atamshinda navy seal.
 
Kama hujui kuwinda, kulinda utalinda vipi?

Simba dume kawa mama wa nyumbani, daily anashinda na vitoto ana dimba nao wakati demu wake anataabika huko kuwinda
Bro sio kila kitu chakuchangia unaharibu thread toa fact kama wengine
 
Kuwa na spirit ya kupambana haimaanishi lazima ushinde ni sawa uchukue mtaleban eti kisa ana roho ngumu na spirit ya kupambana kuwa atamshinda navy seal.
Simba na tiger ni jamiii ya Paka. Tusije ukawa unamfananisha simba na mbwa. Mfano wangu unaenda kwamba Paka wa nyumbani Anaweza akapambana na mbwa na akamshinda mbwa, kwa iyo fighting ya wanyama inategemea na skills ya mnyama mla nyama ukitofautisha na myama mla majani¶ Simba ni Habari nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzoni fresh sina neno ila ivi vingine ni porojo tu hamna kitu vinachafua thread
Mwanzoni ambako ni fresh na huna neno, mbona sijakuona ukinisifia kua nimeandika fact?

Wewe umeweka hoja gani humu ambayo ni fact zaidi ya kuharibu uzi kwa kumshambulia mchangiaji?
 
Mwanzoni ambako ni fresh na huna neno, mbona sijakuona ukinisifia kua nimeandika fact?

Wewe umeweka hoja gani humu ambayo ni fact zaidi ya kuharibu uzi kwa kumshambulia mchangiaji?
Watazamaji daima ndo wakosoaji

Kwenye fresh hongera sana mkuu
 
Watazamaji daima ndo wakosoaji

Kwenye fresh hongera sana mkuu
Aaah sema nacho kiona we uko upande wa simba hivyo hupendezewi na hoja zinazoididimiza simba

Katika mapambano yaliyopambanishwa kati ya simba na tiger ambayo yamefanyika mara 1902 TIGER ameibuka mshindi 95% kwa kuua SIMBA 1732 huku SIMBA akishinda mapambano kwa kuua TIGER 170
 
Teh teh kweli mkuu me nipo upande wa simba kwa uzamini wa member hapa jukwaani nimeangali upande nimeona simba kawazi wote ndo maana kapewa uking
 
Wapo jamii ya chui wanaingia kwenye maji mamba anapandishwa,siku niliona huo mpambano zilipigwa baadae yule jamii ya chui akazamishwa nikajua kwisha habari yake
Bwanae si akaibuka na mamba na akamtoa kwenye maji nafikiri Kuna sehemu mamba akikamatwa hana ujanja inakuwaga ni kichwani kwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamuongelea caiman na sio Mamba mzee baba.

(Caiman vs jaguar)

Mamba wana kilo mpk 1000Kg huyo chui atamuanzia wapi?Simba mwenyewe hajisogezi kwny himaya ya Mamba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…