Simba vs setif live hapa

Mkuu Palalisote mbona jamaa wanaweka misikiti sasa, au kwa sababu wameishapata magoli yao matatu hawana time na sisi?
 
Teh teh teh teh.
Raaaaaaaahaa!bado 2.
Raha utamu.
Hiyo ndio simba bana aka wazee wa ALGERIA...........
 
juma nyoso kaigharimu sana simba . hizi bangi hizi sijui inakuwaje. wachezaji wetu hawandaliwi kisaikolojia wanapocheza na waarabu.
 
Back
Top Bottom