Tmk! 3-0...oooh! Kuna haja gani kumgharamia mchezaji aina ya Nyoso then akafanye upuzi huo.?!...mi chama langu Newcastle wameshinda 2-0 dhidi ya swansea.
Huko kwa Newcastle ndo kwenyewe
Tmk! 3-0...oooh! Kuna haja gani kumgharamia mchezaji aina ya Nyoso then akafanye upuzi huo.?!...mi chama langu Newcastle wameshinda 2-0 dhidi ya swansea.
tunasubiri watue eapoti na gunia la sababu.....wachezaji wa simba bado wanashida sana , sijui tatizo nini
sasa uhai umerudi. walikosea kuanza kulinda mapema mno
mchezaji wa setif anakimbiza na ambulance hospitali