Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
balaa sasa hili......hayo mawili kuingia kipindi cha pili haitakuwa kazi kubwa kwa setifSimba kafungwa 1 dk 35
balaa sasa hili......hayo mawili kuingia kipindi cha pili haitakuwa kazi kubwa kwa setifSimba kafungwa 1 dk 35
angalia hapa
ES Sétif - Simba SC
jamani hiki tunachoandika hapa ndicho kipo ground. hali siyo nzuri
dkk 44 1-0 warabu wanashambulia kimahesabu. Katika dkk 1 kaseja kadaka mara 2. go gogogo tunakosa
Half time, KAseja nampa 5. Hii kadi nyekundu ni ya halali jamani?
Tumefungwa 1, Simba wana difendi zaidi mana wako one man less
Nani kalimwa Red mkuu na ilikuwa dk ya ngapi?