simba vs kagera live updates

simba vs kagera live updates

sijui unatumia kigezo gani au ulitaka Simba ishinde mechi zote. Hata wakati anachukua ubingwa mwaka jana kuna mechi alitoa droo na kupigwa vilevile. Kwa kifupi ujuavyo sivyo, wenye timu tunajua. Ni changamoto tu za ligi na zimetoka kwenye timu nzuri
Mfa maji...................................
 
sijui unatumia kigezo gani au ulitaka Simba ishinde mechi zote. Hata wakati anachukua ubingwa mwaka jana kuna mechi alitoa droo na kupigwa vilevile. Kwa kifupi ujuavyo sivyo, wenye timu tunajua. Ni changamoto tu za ligi na zimetoka kwenye timu nzuri

Kigezo cha mechi tatu za mwisho ijayo mnapoteana
 
chezea makosa ya kujifanya unajua...

kweli, walijifanya wanajua kabla hata ya ligi kuanza, mbeya wakang'ang'aniwa, kushuka Moro wakala TMK wanaume, kwenda Kagera wakapigwa kidude, kurudi Mwanza wakaona isiwe tabu tuongee na ndugu zetu vizuri.
 
Kigezo cha mechi tatu za mwisho ijayo mnapoteana

Ndo mnavyoomba hivyo. Ingekuwa mpira uko hivyo Yanga angekuwa kashashuka daraja maana kashadungwa mechi mbili mpaka sasa na droo moja (ambayo ilifuatiwa na kichapo). Na ingekuwa matokeo mabaya yanafuata mabaya hivyo, Yanga angepigwa na toto.Endeleeni kuomba hivyo
 
Matokeo ya leo hasa ya Taifa na Sokoine ni mazuri sana. Naziombea timu hizo mbili ziende kwa mwendo huu hata kwa mechi zao mbili zijazo halafu wataona wenyewe upepo utakavyobadilika.

Bravo Simba, Bravo Azam. God bless you all for these impressive results.
Ha ha ha ha ha!mkuu naona unang'ata na kupuliza lol
 
Kama simba kafa kwa droo, Yanga atakuwa ameoza kabisa maana kashakula vichapo viwili na droo moja

Shida ya hii timu ya wahindi ni makelele. Nyie mechi karibu zote mmecheza hapa hapa Dar, nje mmetoka mkaambulia point 1. Sasa mna mdomo kama wanawake wa kiswahili wakati mpira wenyewe hamjui. Tulieni sasa, taratibu tunakuja nyuma yenu. Leo tena kapoint kamoja
 
Shida ya hii timu ya wahindi ni makelele. Nyie mechi karibu zote mmecheza hapa hapa Dar, nje mmetoka mkaambulia point 1. Sasa mna mdomo kama wanawake wa kiswahili wakati mpira wenyewe hamjui. Tulieni sasa, taratibu tunakuja nyuma yenu. Leo tena kapoint kamoja

Bhwaaaaaahaaaaaaa, Yanga na simba ipi ni timu ya Wahindi??? MANJI mndengereko nini, si ndo mfadhili wenu, mwenyekiti wenu?? hahaaaa. Akisusa timu imekufa maana kina akilimali walishawatibua kifukwe na Mosha. Halafu Kwani nani anaongoza ligi? Na nani bingwa mtetezi? Mpira upi ambao simba haiujui??
 
Vipi jaman hela ya makomandoo au wanendaga wapinzani wetu wakienda, vp refa hajatupa penati na kuwapunguza kagera, vp jaman aaaaa
 
gemu imeisha hawa wadudu hawana ubavu wa kuzirudisha goli mbili kwa mnyama ..labda tutoe timu libaki goli wazi

Mkuu Mtakatifu Ivuga...sasa kwanini mlitoa team na kubakisha goli wazi wakati mnajua kabisa kuwa ligi ya mwaka huu ni jino kwa jino?
 
Wakola waitu Kagera,umgambilei Simba 2-2 infront of his Wife, we can all imagine game ingekuwa Kaitaba mambo yangekuwaje....mimi nasemaje huu ni mwendelezo wa ile trela iliyoanza Tanga,picha kamili litaanzia pale CCM Kirumba Mwanza na kuendelea pale Sokoine Mbeya
 
Wakola waitu Kagera,umgambilei Simba 2-2 infront of his Wife, we can all imagine game ingekuwa Kaitaba mambo yangekuwaje....mimi nasemaje huu ni mwendelezo wa ile trela iliyoanza Tanga,picha kamili litaanzia pale CCM Kirumba Mwanza na kuendelea pale Sokoine Mbeya

Could not have put it better.

Sent from my GT-P7500 using Tapatalk 2
 
Hapa ndipo watanzania akili ilpoishia kwa Simba na Yanga, tangu mwanzo wa mchezo kila mtu alikuwa na matumaini ya Simba kushinda kinyume na hali halisi ambayo hamtaki kuikubali. Kagera Sugar iliifunga Yanga ila waandishi ambao walikuwa uwanjani badala ya kuandika habari ya Yanga kufungwa uwanjani kihalali wakaandika habari ya Kocha msaidizi MINZIRO kuwa kuna uzalendo, huyo bwana alikuwa anadanganya kulinda kibarua chake.

Tusiseme mambo ambayo tutaombwa kudhibitisha baadaye ila zilikuwepo jitihada madhubuti za kuhujumu Kagera Sugar kuanzia siku moja kabla ya Mechi vile vile hivyo hivyo kwa simba.

Ndugu zangu badilika kwa maendeleo ya soka PIGA VITA RUSHWA na uhuni wa SIMBA na YANGA, siri ya Kegera Sugar ni determination na stamina kitu kinachozishinda timu nyingi hapa TZ.

Matokeo yake kila mwaka Timu hizi niseme kubwa zinakimbilia kuchukua wachezaji wa Kagera sugar ambao baada ya hapo wanashindwa kung'ara kutokana na udhaifu wa training wa timu hizo.

Kwa taarifa wachezaji wa Kagera Sugar ni wadogo kiumri na uzoefu ni mdogo ila kwa sababu zifuatavyo wanamudu mpaka hapo wanapobomolewa na kuunda timu mpya kila mwaka:-

1. Timu inakuwa kambini (isolated) msimu mzima kuondoa kipindi cha mapumziko baada ya mzunguko wa kwanza.
2. Wanalipwa mshahara kama wafanyakazi waajira wengine kila mwezi, hakuna malimbikizo.
3. Posho zao zinaunganishwa na mishahara
4. Kila mechi wanayoshinda mapato nyote inagawiwa timu.
5. Timu haina makomandoo.
6. Bench la ufundi haliingiliwi kwenye maamuzi.
7. Bench la ufundi na wachezaji wanaishi pamoja kambini, kocha ndio mkuu wa nidhani na ana mamlaka ya mwisho kwa maamuzi ya kinidhamu.
8. nk.

My take:- Timu haina walevi na wahuni wawapo kambini.

Marefa kama TFF iko makini watafungiwa wote kwa sababu ya YANGA na Simba kutaka kucheza mpira nje ya uwanja. Katika mazingira ya kawaida Simba na Yanga hawana ubavu kwa KAGERA SUGAR.

NAOMBA MNAOJIDANGANYA MJUE ILO sio kupata matoke kwa njia yoyote ile!!!!!!
 
Back
Top Bottom