TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
kazi ipo mtu alikua anaongoza 2-0 sasa 2-2 na kagera wapo juu sasa
Hee kumbe mpira unadunda
kazi ipo mtu alikua anaongoza 2-0 sasa 2-2 na kagera wapo juu sasa
Hee kumbe mpira unadunda
washabiki wa yanga hawapo kabisa uwanjani,nikihesabu jukwaa lao wapo kama 20 tu
Ndugu yangu nani hajui kwani
kazi ipo mtu alikua anaongoza 2-0 sasa 2-2 na kagera wapo juu sasa
Umeanza kuchoka umeambulia kapoint 1 ukitua kirumba kibano
Ndiyo mpira ulivyo bwana! Jana Ujerumani na Sweden 4 - 0 hadi dk ya 70; na gemu likaishia 4 - 4
washabiki wa yanga hawapo kabisa uwanjani,nikihesabu jukwaa lao wapo kama 20 tu
.....Kagera Kaitaba hatoki, amechokoza Nyuki.Umeanza kuchoka umeambulia kapoint 1 ukitua kirumba kibano
umeisha kwani..
.....Kagera Kaitaba hatoki, amechokoza Nyuki.
2-2 dk za majeruhi.Matokeo ya mwisho vp
umesahau mechi ya jana german alikuwa anaongoza 4-0 dhidi ya sweden lakini hadi refarii ana maliza mpira german 4 sweden 4!!vivyo hivyo kwa spain na france!Hee kumbe mpira unadunda
Weka matokeo