PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 445
Leo tunaenda na pointi yetu 1 inatoshaVp mmeongeza la 3?
Leo tunaenda na pointi yetu 1 inatoshaVp mmeongeza la 3?
Hawa Kagera ndio tukubali wanacheza mpira sifa zao tuwape ila duh Tuwapelekee magodoro tu ya kulala chini wamezidi sasa.
Leo tunaenda na pointi yetu 1 inatosha
Mkiondoka na point 1 si haba, na mkiokota hizo 1 kwa mechi 3 zijazo si haba napo
Full Time
Simba 2-2 Kagera Sugar
sokoine updates
=================
Tanzania Prisons 0 - 0 Azam fc
Yanga lazima awe bingwa msimu huu.
Yanga lazima awe bingwa msimu huu.
Nilichoona ni kuwa Juma Nyosso ni mzuri wa kupanic akitiwa presha lakini lazima tuwasifu kagera kwa hiyo presha waliyotoa kipindi cha pili. Ndo utamu wa ligi, ila tunashukuru hata kwa pointi moja
Tena mechi zilizobaki zote simba ata draw.Naona umerithi mikoba ya sheikh yahya
Ni ijuavyo simba huu ndo mwanzo wa makali kupungua
Tena mechi zilizobaki zote simba ata draw.