Simba v/s Azam ngao ya hisani

Five-goal-Simba-rout-Yanga.jpg

 
hongera zenu simba na wale waliozamia simba bila kumsahau JB19 kwa kutupatia raha wanaazam dk ya pili tu ya mchezo..
 
Mapema nilisema hakuna soka apo ni maigizo ya cuf na bwana wake ccm.. Azam ife ife ife kabisa imekuja kuua soka letu, mambo gan ya kwendekeza undugu ivi.
Simba ikifungwa siyo maigizo, ikishinda maigizo.
 
tatizo kubwa la simba bado hawajazoeana tutapata shida michi za awali lakini nne na kuendelea watatutambue..
 
tatizo kubwa la simba bado hawajazoeana tutapata shida michi za awali lakini nne na kuendelea watatutambue..
Tatizo la Simba kwa sasa ni kukosa kiungo mkabaji, baada ya kumwacha Musa Mudde tumebaki na Amri Kiemba na Jonas Mkude ambao nao hawaanzishwi sijui kocha ana mpango gani?
 
Ndomyana kuwa mwanaspoti usiendekeze sana ushabiki wakati simba kafungwa goli la kwanza haikuwa maigizo lakin simba kushinda ni maigizo. Kwan hata zile 5 bila ilikuwa maigizo? Au maigizo ni kwa azam tu. Tutafanya tena maigizo october 3.
 
Ndomyana kuwa mwanaspoti usiendekeze sana ushabiki wakati simba kafungwa goli la kwanza haikuwa maigizo lakin simba kushinda ni maigizo. Kwan hata zile 5 bila ilikuwa maigizo? Au maigizo ni kwa azam tu. Tutafanya tena maigizo october 3.

we ukuona maigizo ya refa toka lini football ndani ya dk90 timu ikapiga penart3,. Hiyo ni rekodi ya dunia
 
Tatizo la Simba kwa sasa ni kukosa kiungo mkabaji, baada ya kumwacha Musa Mudde tumebaki na Amri Kiemba na Jonas Mkude ambao nao hawaanzishwi sijui kocha ana mpango gani?
Mimi naona wamchezeshe Juma Nyoso kama kiungo mkabaji....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom