thanx man naona tokea penati tu nikajua hapa hatuna chetu hawa jamaa nshaanza kupata wasiwasi..
hongera zetu simba na wale waliozamia simba kwa kutupatia raha wanasimba leo..
Mimi nimepita tu,nitarudi hapa tena baada ya dk 90 za mtanange huu....
Simba ikifungwa siyo maigizo, ikishinda maigizo.Mapema nilisema hakuna soka apo ni maigizo ya cuf na bwana wake ccm.. Azam ife ife ife kabisa imekuja kuua soka letu, mambo gan ya kwendekeza undugu ivi.
,kaka,wenzako wanaamini na beki yetu ilivyokuwa butu zitarudi tu hzo zote,toa bango hilo
Wakati wanasiasa watakapo acha kutumia mpira kwa maslahi yao ya kisiasalini tutaacha kuingiza soka ktk siasa.
Tatizo la Simba kwa sasa ni kukosa kiungo mkabaji, baada ya kumwacha Musa Mudde tumebaki na Amri Kiemba na Jonas Mkude ambao nao hawaanzishwi sijui kocha ana mpango gani?tatizo kubwa la simba bado hawajazoeana tutapata shida michi za awali lakini nne na kuendelea watatutambue..
kuna muda ilibadilisha ID ndugu, vp maigizo apo taifa yameisha
Ndomyana kuwa mwanaspoti usiendekeze sana ushabiki wakati simba kafungwa goli la kwanza haikuwa maigizo lakin simba kushinda ni maigizo. Kwan hata zile 5 bila ilikuwa maigizo? Au maigizo ni kwa azam tu. Tutafanya tena maigizo october 3.
Mimi naona wamchezeshe Juma Nyoso kama kiungo mkabaji....Tatizo la Simba kwa sasa ni kukosa kiungo mkabaji, baada ya kumwacha Musa Mudde tumebaki na Amri Kiemba na Jonas Mkude ambao nao hawaanzishwi sijui kocha ana mpango gani?