Simba v/s Azam ngao ya hisani

Simba v/s Azam ngao ya hisani

baada ya kutokuwa hewani sasa tigo wanawapa watu fidia kutokana na uzembe na ujinga wao.. kwa hiyo usishangae kuona hiyo maneno Sosi ::: Tigo fanpage Facebook :::
 
Laana ya timu yangu ni kuwa na Mwenyekiti mwenye ushirika na kile kisichowapendezesha watanzania kwa sasa(CCM) haya tumchague tena kisha tushuke daraja. Aliniuzi sana Wakati ule wachezaji wanaenda sijui iliku Algeria au wapi kisha akasema eti watavaa suti ili wajulikane wanatoka TZ inayoongozwa na CCM na JK. My foot,tulimtuma aseme hayo?au hizo suti zilitoka Lumumba? Xyz@.,)sh t€&..

lini tutaacha kuingiza soka ktk siasa.
 
Simba wameshatupia bao la pili. Hivyo mpaka sasa Simba 2 na Azam 2. Timu ya Simba inaonekana kutulia sasa katika kipindi hiki cha pili, na naona wamebadili mfumo na kucheza 4 4 2, tofauti na kipindi cha kwanza walipocheza 4 3 3.
 
Azam vp wamepewa nini vyumbani
 
Dakika ya ngapi?
Simba wameshatupia bao la pili. Hivyo mpaka sasa Simba 2 na Azam 2. Timu ya Simba inaonekana kutulia sasa katika kipindi hiki cha pili, na naona wamebadili mfumo na kucheza 4 4 2, tofauti na kipindi cha kwanza walipocheza 4 3 3.
 
mboni wanatakuleta mambo ya urafiki cup hawa azam bwana..
 
jamani huyo mnyama keshaichomoa hiyo ice cream aliyokalia?
 
Back
Top Bottom