Eti eh......................azam bwana sijui wana matatizo gani au ndo wanauza mechi na wao..
Pole sana...
Duuuuuu! tumewakosa tena...dakika 87thanx man naona tokea penati tu nikajua hapa hatuna chetu hawa jamaa nshaanza kupata wasiwasi..
Mrisho Ngasa anawakimbiza mbaya kabisa...
Simba mabigwa wa ngao ya hisani..........
Mavuvuzela yote ya Yanga huwezi kuyaona tena kwenye uzi huu, hongereni sana washabiki wote wa mnyama na pole ndugu yetu Ndetichia na wenzako.
Duh mbona waramba cone wamepotea humu
Mavuvuzela yote ya Yanga huwezi kuyaona tena kwenye uzi huu, hongereni sana washabiki wote wa mnyama na pole ndugu yetu Ndetichia na wenzako.
Mrisho Ngasa anawakimbiza mbaya kabisa...