Simba ni wakali sana pale mbele..... Wanafanya beki ya Azam ilazimike kuwacheza rafu mara kwa mara ili kuwadhibiti, na mpaka sasa! Na beki zake za pembeni zinapandisha vizuri sana mashambulizi yake. Ila safu yake ya ulinzi bado haijakaa sawa mpaka sasa, ni mbovu mno na haina maelewano.
Na kwa bahati mbaya Simba washapigwa bao la pili dakika ya 36, ikiwa ni kabla hata ya mapumziko! Kuna uwezekano zile tano walizofungwa Yanga zikawazukia Simba leo.
Simba ni wakali sana pale mbele..... Wanafanya beki ya Azam ilazimike kuwacheza rafu mara kwa mara ili kuwadhibiti, na mpaka sasa! Na beki zake za pembeni zinapandisha vizuri sana mashambulizi yake. Ila safu yake ya ulinzi bado haijakaa sawa mpaka sasa, ni mbovu mno na haina maelewano.
Na kwa bahati mbaya Simba washapigwa bao la pili dakika ya 36, ikiwa ni kabla hata ya mapumziko! Kuna uwezekano zile tano walizofungwa Yanga zikawazukia Simba leo.
crashwise umebadilisha ID, na washerekea tano mpaka uzikwe kweli rage kiboko yenu
Sijakuelewa kiongozi kwa post yako hii!