Simba tumesahau Ile kauli mbiu " UBUNTU BOTHO"

Simba tumesahau Ile kauli mbiu " UBUNTU BOTHO"

Ukiuwa Kwa upanga utakufa Kwa upanga,

Wanasimba waliongoza kununua jezi za Mamelod Sundown mwaka Jana na walizivaa hazwa

Leo wanalilia support ya Yanga ila mwaka walishangilia na kuwa follow Mamelod, hadi wao wakashangaa

Wanasimba waliwaimba Kwa majina akina na Peter Shalulile, Mokoina, modiba,mudau, aliende , Ribeiro n k

Leo CEO Zubeda anaropoka tu

Tuko na Al Masry wapige kwenye mshono
Mkuu unajisikiaje? Al Masry kapigwa kwenye mkono alioshonea mshono na mdunga uzi Utopolo kabaki na bumbuwazi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom