MUNGU IBARIKI AL MASRYUkiuwa Kwa upanga utakufa Kwa upanga,
Wanasimba waliongoza kununua jezi za Mamelod Sundown mwaka Jana na walizivaa hazwa
Leo wanalilia support ya Yanga ila mwaka walishangilia na kuwa follow Mamelod, hadi wao wakashangaa
Wanasimba waliwaimba Kwa majina akina na Peter Shalulile, Mokoina, modiba,mudau, aliende , Ribeiro n k
Leo CEO Zubeda anaropoka tu
Tuko na Al Masry wapige kwenye mshono
Ila uko kundi la wenye MWIKO NYUMA 😂Siwezi kujiunga kundi la mambumbumbu
Anta men taazi ee???Kuanzia Leo nafundisha kiarabu![]()
nyuma mwiko simba itawafungashia pakage ya 4:1 kesho na almasryUkiuwa Kwa upanga utakufa Kwa upanga,
Wanasimba waliongoza kununua jezi za Mamelod Sundown mwaka Jana na walizivaa hazwa
Leo wanalilia support ya Yanga ila mwaka walishangilia na kuwa follow Mamelod, hadi wao wakashangaa
Wanasimba waliwaimba Kwa majina akina na Peter Shalulile, Mokoina, modiba,mudau, aliende , Ribeiro n k
Leo CEO Zubeda anaropoka tu
Tuko na Al Masry wapige kwenye mshono
Lini mkuu umekuwa platinum member? Hongera.Kuanzia Leo nafundisha kiarabu 😀😀
👿👿👿MUNGU IBARIKI AL MASRY
Shukrani sana mkuuLini mkuu umekuwa platinum member? Hongera.
kaefa haluk?Anta men taazi ee???
😂😂😂😂😂Kuna mtu alikuwa anaitwa Carasco Putin yeye ndiye alijiita masandawane kabisa.
PoleUkiuwa Kwa upanga utakufa Kwa upanga,
Wanasimba waliongoza kununua jezi za Mamelod Sundown mwaka Jana na walizivaa hazwa
Leo wanalilia support ya Yanga ila mwaka walishangilia na kuwa follow Mamelod, hadi wao wakashangaa
Wanasimba waliwaimba Kwa majina akina na Peter Shalulile, Mokoina, modiba,mudau, aliende , Ribeiro n k
Leo CEO Zubeda anaropoka tu
Tuko na Al Masry wapige kwenye mshono
Wenzetu wameaanza kulipwa, na sisi tupige kazi tutafika huko...Lini mkuu umekuwa platinum member? Hongera.
AiseeYah ipo siku mtatufikia Huku juu 😎
Take home napata ya kawaida sana kama 600k hv 😎Aisee
makato na take home unabakiwa na ngapi ?