Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,692
- 20,453
Kwani Simba ilianzishwa ili kucheza mpira au kuifunga Yanga? Wakati mwingine kukaa kimya kunaficha mengiHawa wazee ndio mnawategemea kuifunga Yanga ?
Kwani Simba ilianzishwa ili kucheza mpira au kuifunga Yanga? Wakati mwingine kukaa kimya kunaficha mengiHawa wazee ndio mnawategemea kuifunga Yanga ?
NonsenseKapombe 30+
Hussein 30+
Onyango 40+
Wawa 30+
Mkude 30+
Mzamilu 30+
Dilunga 30+
Boko 30+
Nyoni 40+
Kagere 30+
Mugalu 30+
Hawa wazee ndio mnawategemea kuifunga Yanga ?
Mechi moja ya kumfunga mtani, tambua hiloIla yanga mechi moja tu ndo inawatoa ufahamu kweli masikini akipata