haha kumaliza kufanya nn?Umemaliza?
haha kumaliza kufanya nn?
eh ndo umeishia hapo.. niko na furaha za kushinda mpira au we umeelewaje?Kuandika uzi
Angemaliza ungejua. Wacha kurukia visivyokuhusu. Utateseka sana.Umemaliza?
Huyo mwamba sijui wa wapi..mchezaji wa mechi nyepesi...fuatilia mechi anazoshine...ndio maana Zambia hawajaqualify AFCONSiti ya mbele
Kuna timu 4 zinazocheza soka la burudani, kuvutia Sana!
1. Barcelona
2. Chelsea
3. Arsenal
4. ......malizia mwenyewe unaijuaaa! Kiungo wake anaitwa "Mwamba wa Lusaka"
*Yanga ni utamaduni wa Mtanzania,ni hazina ya urithi wetu na hifadhi ya mapokeo,ni Tunu ya Wananchi na alama ya Uhuru wetu. Ewe Mwanajangwani usikose jpili 9/12/2018 kusherekea siku ya Uhuru kwa kuwatizama mabingwa mara nyingi Tanzania Yanga wakichuana na Biashara toka Musoma alikozaliwa Mpigania Uhuru Baba wa Taifa letu na Shabiki Nguli wa Yanga Hayati Mwl Nyerere*
*Tusherekee Uhuru wetu kwa kuitizama Tunu ya Taifa Letu Yanga...Usikose ewe Mwanachi*
Daima mbele nyuma mwiko
duh kumbe kuna hati miliki ya threadUngeanzisha thread yako sio kuchafua thread za watu ambazo hazihusiani Na ulicho andika
Punguza povuUngeanzisha thread yako sio kuchafua thread za watu ambazo hazihusiani Na ulicho andika