Simba SC yaachana na Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha

Alipo itwa kwenye kamati ya nidham tu, nikajua kua mwamba keshapata chichoro la kuwaacha mbumbumbu.

Pale nilipo sikia mahojiyano yake baada ya game ya yanga "Tangu nianze kufundisha soccer sijawahi fundisha wachezaji wagumu kuelewa kama hawa" niliesoma kyuba nikagundua kua mwamba anatafuta sababu ya kupita hivi.

Kama mwanamichezo namtakia mafanikio mema huko aendako, ye nikocha bora atapata timu bora sawa na viwango vyake.

Pia nampa hongera kwa kushtuka mapema kua CV zake zinashuka, laa sivyo jamaa walikua wanaenda kumchafulia CV zake tu, angeonekana kocha mbovu kumbe timu ni ndogo na ni mambumbumbu flani tu.

Sina mengi ila nimefrahi sana.
 
Hamna kocha hapo ...... Hana mbinu mbadala kazi kufokea wachezaji .... CV hata kina makamba wanazo za kufoji.
 
Kinachonishangaza miaka yote ni pale makocha wanakuja na kuondoka LAKINI MATOLA YEYE YUMO TU. Hadi najiuliza matola ana mikoba ya uganga wa Simba au.

Huyu jamaa ni rahisi sana kujenga fitina kwa kocha mgeni ambaye yeye atakuwa hamkubali

Kwani hakuna magwiji wengine wa Simba hadi iwe ni Matola tu
 
Kinachonishangaza miaka yote ni pale makocha wanakuja na kuondoka LAKINI MATOLA YEYE YUMO TU. Hadi najiuliza matola ana mikoba ya uganga wa Simba au.

Huyu jamaa ni rahisi sana kujenga fitina kwa kocha mgeni ambaye yeye atakuwa hamkubali

Kwani hakuna magwiji wengine wa Simba hadi iwe ni Matola tu
Yule ndio mbeba mikoba pale Msimbazi.
 
Kinachonishangaza miaka yote ni pale makocha wanakuja na kuondoka LAKINI MATOLA YEYE YUMO TU. Hadi najiuliza matola ana mikoba ya uganga wa Simba au.

Huyu jamaa ni rahisi sana kujenga fitina kwa kocha mgeni ambaye yeye atakuwa hamkubali

Kwani hakuna magwiji wengine wa Simba hadi iwe ni Matola tu
Peleka cv yake pale Simba uwe coach wewe
 
Mwananchi wameandika "siku mbili baada ya kushinda "
Screenshot_20240428-184323_Chrome.jpg
 
Huwezi kuwa na akili timamu kama kocha ukafanya kazi na uongozi kama wa Simba, lamda pia uwe kama Mwinyi Zahera kipindi Cha bakuli Yanga japo na yeye walimtosa
 
Tuliambiwa ni kocha la makombe, vipi tena?

Simba ingekuwa na kiwango vizuri sijui kama hii taarifa ingetolewa

Tuseme tu ukweli kwamba kocha Kafukuzwa kutokana na mipango yake na ya klabu kutoendana


Kwanza hata ukiangalia historia yake hakaagi muda mrefu kwenye timu, wachezaji na uongozi nadhani haujampa kitu anachotaka ndio maana kasusa


NB: Tumefikia makubaliano ya pande zote mbili ni aina ya ustaarabu wa kuficha neno Tumemfukuza
 
Breaking: Benchika ameachana rasmi na Simba SC baada ya makubaliano ya pande zote mbili.


----
Kocha mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake rasmi wameachana na klabu ya Simba baada yakufikia makubaliano ya pande zote mbili.

Kwa sasa Juma Mgunda atakuwa Kocha mkuu wa muda kwa Simba na msaidizi wake ni Seleman Matola, Michael Igendia atakuwa kocha wa viungo.

View attachment 2976046
Benchika ndiye kocha kimeo kuliko makocha wote walioajiriwa na simba toka Mo aichukue timu.
Afadhali simba imrudishe robertinho
 
Back
Top Bottom