Kocha Benchikha Abdelhak Simba ni Injini ya FUSO kwenye Bajaj

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,319
12,622
Je, uongozi, wachezaji, utajiri na mipango ya Simba inaweza kuvuna mipango, ubora na mahitaji ya kocha Benchikha Abdelhak? Mangungu anaweza kukubali kuacha ulozi na kukumbatia sayansi ya mpira? wanaweza kusajili wachezaji atakaowataka kocha huyu ili alete matokeo kama ya timu alizotoka? Vikosi alivyofundisha vilikuwa na wachezaji ghali sana Afrika ambao Simba hawapo na hawatakuwepo.

Injini ya FUSO inaweza kufungwa kwenye bajaj?
 
Kwani mafanikio yaliyofikiwa na Simba hadi sasa yalifikiwa chini ya viongozi malaika?
Kwa nini argument zinakuwa za kitoto namna hii?

Akina Kotei na Zana Coulibaly walioifikisha Simba Robo Fainali ya kwanza baada ya miaka mingi kutofika hapo walikuwa wachezaji chini ya uongozi upi?
Barcelona wanakaribia kumtimua XAVI je, management ya Barca ndiyo mbovu au kocha ndiye mbovu?

Acheni watu wafanye kazi zao wakifeli au wakifaulu tafuta angle ukae uamue kucheka au kulia,ni hayo tu
 
Kwani mafanikio yaliyofikiwa na Simba hadi sasa yalifikiwa chini ya viongozi malaika?
Kwa nini argument zinakuwa za kitoto namna hii?

Akina Kotei na Zana Coulibaly walioifikisha Simba Robo Fainali ya kwanza baada ya miaka mingi kutofika hapo walikuwa wachezaji chini ya uongozi upi?
Barcelona wanakaribia kumtimua XAVI je, management ya Barca ndiyo mbovu au kocha ndiye mbovu?

Acheni watu wafanye kazi zao wakifeli au wakifaulu tafuta angle ukae uamue kucheka au kulia,ni hayo tu
tofautisha kati ya Barbara na Mangungu.
 
Kuna kitu nimekiona kila mmoja anajaribu kuandika kwa kuikosoa Simba ilimradi Ila tuwe wa kweli inamana hakuna mazuri ya Simba mpaka kila mda tunaandika mabaya tu
Wapo kazini hao kuivuruga Simba
 
Kuna kitu nimekiona kila mmoja anajaribu kuandika kwa kuikosoa Simba ilimradi Ila tuwe wa kweli inamana hakuna mazuri ya Simba mpaka kila mda tunaandika mabaya tu
Mpira wa miguu ni mchezo wa makombe, kama hakuna makombe na medali hakuna mazuri. Mtu akihoji mchakato wa mabadiliko umekwamia wapi, bil 20 ziko wapi, kwanini Rais wa heshima ndio katoa hotuba Simba day badala ya try again au Mangungu, au kwanini waliwasha moto katikati ya uwanja wa Orlando pirates ni kutaka kuivuruga timu?
 
Hatakubali kuharibu cv yake, it will be ALL or NONE
Sijui kwanini Benchikha amekubali kutia doa CV yake kwa kupokea kibarua kutoka timu inayojitafuta!

Anaenda kuharibu kila kitu na ataondoka kwa aibu!
 
Mpira wa miguu ni mchezo wa makombe, kama hakuna makombe na medali hakuna mazuri. Mtu akihoji mchakato wa mabadiliko umekwamia wapi, bil 20 ziko wapi, kwanini Rais wa heshima ndio katoa hotuba Simba day badala ya try again au Mangungu, au kwanini waliwasha moto katikati ya uwanja wa Orlando pirates ni kutaka kuivuruga timu?
Kaka kuna mambo mangapi yanafanyika Yanga mbona hamuhoji Nina Nani anajua mkataba WA Yanga na Whizmo je Kati yetu Nani anajua wamepewa kiasi gani na mkataba WA mda gani.je Nani anahoji kuhusu fred yupo wapi je Nani anahoji kuhusu kiwango cha konkon je hayo NI mazuri tumekazana na mambo ambayo pengine hayana faida na Sisi hivi unafikili ukimpaka matope jirani yako wewe ndio utakuwa msafi.
 
Kwani mafanikio yaliyofikiwa na Simba hadi sasa yalifikiwa chini ya viongozi malaika?
Kwa nini argument zinakuwa za kitoto namna hii?

Akina Kotei na Zana Coulibaly walioifikisha Simba Robo Fainali ya kwanza baada ya miaka mingi kutofika hapo walikuwa wachezaji chini ya uongozi upi?
Barcelona wanakaribia kumtimua XAVI je, management ya Barca ndiyo mbovu au kocha ndiye mbovu?

Acheni watu wafanye kazi zao wakifeli au wakifaulu tafuta angle ukae uamue kucheka au kulia,ni hayo tu
Jamani mfano wa Barcelona na simba tena daaa!!! Tuweni serious hata kidogo
 
Kaka kuna mambo mangapi yanafanyika Yanga mbona hamuhoji Nina Nani anajua mkataba WA Yanga na Whizmo je Kati yetu Nani anajua wamepewa kiasi gani na mkataba WA mda gani.je Nani anahoji kuhusu fred yupo wapi je Nani anahoji kuhusu kiwango cha konkon je hayo NI mazuri tumekazana na mambo ambayo pengine hayana faida na Sisi hivi unafikili ukimpaka matope jirani yako wewe ndio utakuwa msafi.
Konkon na Fred viwango vyao vilifahamika tangu wakiwa kwenye timu zao, Yanga hakuna anaempangia kocha kikosi. Yanga wanadai kandanda safi na makombe baasi!! Hayo ya whizmo yanafumikwa na mtokeo mazuri, usajili mzuri na makombe.
 
Kwani mafanikio yaliyofikiwa na Simba hadi sasa yalifikiwa chini ya viongozi malaika?
Kwa nini argument zinakuwa za kitoto namna hii?

Akina Kotei na Zana Coulibaly walioifikisha Simba Robo Fainali ya kwanza baada ya miaka mingi kutofika hapo walikuwa wachezaji chini ya uongozi upi?
Barcelona wanakaribia kumtimua XAVI je, management ya Barca ndiyo mbovu au kocha ndiye mbovu?

Acheni watu wafanye kazi zao wakifeli au wakifaulu tafuta angle ukae uamue kucheka au kulia,ni hayo tu
muda wao umeisha we samaki
 
Huyo kocha mkisema mumpe presha na hali ya kupanic mliyokuwa nayo Pasaka hatoboi.
 
Kuna kitu nimekiona kila mmoja anajaribu kuandika kwa kuikosoa Simba ilimradi Ila tuwe wa kweli inamana hakuna mazuri ya Simba mpaka kila mda tunaandika mabaya tu
Sisi mashabiki tunasema hamna zuri hata moja. Simba, guvu moja.
 
Je, uongozi, wachezaji, utajiri na mipango ya Simba inaweza kuvuna mipango, ubora na mahitaji ya kocha Benchikha Abdelhak? Mangungu anaweza kukubali kuacha ulozi na kukumbatia sayansi ya mpira? wanaweza kusajili wachezaji atakaowataka kocha huyu ili alete matokeo kama ya timu alizotoka? Vikosi alivyofundisha vilikuwa na wachezaji ghali sana Afrika ambao Simba hawapo na hawatakuwepo.

Injini ya FUSO inaweza kufungwa kwenye bajaj?
Uongo mtupu.

Weka ushahidi kayasema wapi hayo ya vibajaji na fuso kama u mkweli.
 
Back
Top Bottom