kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Je, uongozi, wachezaji, utajiri na mipango ya Simba inaweza kuvuna mipango, ubora na mahitaji ya kocha Benchikha Abdelhak? Mangungu anaweza kukubali kuacha ulozi na kukumbatia sayansi ya mpira? wanaweza kusajili wachezaji atakaowataka kocha huyu ili alete matokeo kama ya timu alizotoka? Vikosi alivyofundisha vilikuwa na wachezaji ghali sana Afrika ambao Simba hawapo na hawatakuwepo.
Injini ya FUSO inaweza kufungwa kwenye bajaj?
Injini ya FUSO inaweza kufungwa kwenye bajaj?