GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,852
Muda si mrefu tu uliopita kuna Barua kutoka Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu kwenda kwa Klabu ya Yanga ikiwataka upesi sana Kurejesha Serikalini ( Wizarani ) Kibali cha Kazi cha Mchezaji halali wa Simba SC Bernard Morrison ambacho kwa Kiburi na Jeuri kabisa Yanga SC kupitia Afisa Habari wao Hassan Bumbuli 'alikaririwa' akisema hawatokitoa ng'o.
Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!
Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.
John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC
Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!
Na sehemu ya hiyo Barua inasema Klabu ya Yanga ikishindwa Kutii Agizo ( Amri ) hiyo ya Serikali inaweza Kujikuta 'Matatizoni' kwa Adhabu Kali. Haya sasa Msemaji wa Yanga Hassan Bumbuli si ulipokuwa 'Ukihojiwa' na wana Yanga SC Wenzako akina Maulid Kitenge na Yusuph Mkule pamoja na George Job wa Wasafi FM 'ulitamba' kuwa Yanga SC mtaendelea tu Kudinda? Dindeni sasa!
Kwakuwa mmeshanikera GENTAMYCINE na leo 'nawapasulieni' ukweli hapa hapa. Kama vile nanyi Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa ni mwana Yanga SC na 'mlifaidika' nae sana hadi Kututesa na Kutunyanyasa wana Simba SC kwa miaka ile yake Kumi ( 10 ) na sisi sasa kupitia mwana Simba SC Mwenzetu Rais Dkt. John Pombe Magufuli 'tutawanyoosheni' hadi mtuombe radhi Kudadadeki zenu.
John Pombe Magufuli.....Simba SC
Mama Samia Suluhu.....Simba SC
Kassim Majaliwa......Simba SC
Job Ndugai.....Simba SC
Tulia Ackson.....Simba SC
Harrison Mwakyembe......Simba SC
85% ya Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini......Simba SC
95% ya JamiiForums Members.....Simba SC
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.....Simba SC
Malaika wote wa Mbinguni Mikaela na Jibril....Simba SC
Rais wa FIFA Infatino......Simba SC
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya FIFA iitwayo CAS itakatosikiliza Rufaa ya Yanga SC dhidi ya Bernard Morrison......Simba SC
97% ya Wasomi wote nchini Tanzania......Simba SC
Najua leo 'mtanuna' na 'mtaninunia' mno tu ila ndiyo tena 'tuvumiliane' kwani Simba Sports Club yangu inanipa raha isiyo na Kifani na Amani tele!