DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,472
- Thread starter
- #41
Kiimani tunatumia zaidi olive oil siyo coconut oil. Tafuta picha nyingine.Haya endelea kupakwa mafuta View attachment 3309291
Kiimani tunatumia zaidi olive oil siyo coconut oil. Tafuta picha nyingine.Haya endelea kupakwa mafuta View attachment 3309291
Ndo mnapakwa hayoKiimani tunatumia zaidi olive oil siyo coconut oil. Tafuta picha nyingine.
Angetengeneza ID mbili Moja ya kulia Lia nyingine ya kuvimba na kujifanya mwamba.Huyu akiniona jukwaani huwa anakimbia ananiogopa mno
Alikuja analia anaomba kibarua hata kazi za ndani
Na Mimi Huwa natumia huo mwanya kuhakikisha anakosa amani
Yes! Mfalme Daudi alipakwa pia na hata Yesu Kristo. Mtume Muhammad (SAW) alisema olive oil inaweza kutibu magonjwa 70.Ndo mnapakwa hayo
5imba anapakwa mafuta na Aziz kYes! Mfalme Daudi alipakwa pia na hata Yesu Kristo.
Kwaiyo Daudi alikua akicheza mpira!!Yes! Mfalme Daudi alipakwa pia na hata Yesu Kristo.
Usikimbie hoja yako!5imba anapakwa mafuta na Aziz k
Comrade, kwani wewe ni mwimbaji wa taarabu! Mbona unapenda sana vijembe!!!Hata ufanye nini, ukubwa haujifichi. Kuna timu ilipelekwa huko katikati ya mashamba ya alizeti eti kuzindua uwanja ambao kwanza hauna hata majukwaa na matokeo yake wageni rasmi waliloana tepetepe, kamvua tu kadogo kakasitisha mechi.
Wakati huo huo, Simba imepewa heshima ya kuzindua viwanja viwili vikubwa zaidi nchini baada ya matengenezo makubwa, Uwanja wa Mkapa na uwanja wa New Amaan Complex. Baada ya hapo wengine ndiyo wataruhusiwa kuvitumia.
Simba ndiyo timu ya kwanza kutumia pitch mpya ya New Amaan Complex na mashabiki wa Simba ndiyo wa kwanza kwenda kukalia viti vipya vya uwanja wa Mkapa.
Nuneni ila hamna kitu mnaweza fanya! Kwa kukumbushia, nimestaafu kubishana na mashabiki wa vitimu vidogovidogo.
Daudi alipakwa mafuta wakati alikuwa tu ni mchunga kondoo huko msituni. Jaribu kupata tafsiri sahihi ya "ushirikina" kabla ya kuendelea kulirusharusha hilo neno kila mahali!Kwaiyo Daudi alikua akicheza mpira!!
Mliambiwa fanyeni usajili mkawa mnaleta dhihaka, Angalia sasa mnavyo dhalilika na mambo ya kishirikina!!
Yaani ushirikina umewakolea mpaka mnafikia hatua ya kuamini Kibu na Mpanzu watawaletea kombe. 😀😀
Hoja ni kuwa 5imba ni wapakwa mafuta wa YangaUsikimbie hoja yako!
Tusiache kuwaona wazee wakiingia na mbuzi uwanjani lakini.Hata ufanye nini, ukubwa haujifichi. Kuna timu ilipelekwa huko katikati ya mashamba ya alizeti eti kuzindua uwanja ambao kwanza hauna hata majukwaa na matokeo yake wageni rasmi waliloana tepetepe, kamvua tu kadogo kakasitisha mechi.
Wakati huo huo, Simba imepewa heshima ya kuzindua viwanja viwili vikubwa zaidi nchini baada ya matengenezo makubwa, Uwanja wa Mkapa na uwanja wa New Amaan Complex. Baada ya hapo wengine ndiyo wataruhusiwa kuvitumia.
Simba ndiyo timu ya kwanza kutumia pitch mpya ya New Amaan Complex na mashabiki wa Simba ndiyo wa kwanza kwenda kukalia viti vipya vya uwanja wa Mkapa.
Nuneni ila hamna kitu mnaweza fanya! Kwa kukumbushia, nimestaafu kubishana na mashabiki wa vitimu vidogovidogo.
Daudi hakupakwa mafuta vilainishi😀😃😂Daudi alipakwa mafuta wakati alikuwa tu ni mchunga kondoo huko msituni. Jaribu kupata tafsiri sahihi ya "ushirikina" kabla ya kuendelea kulirusharusha hilo neno kila mahali!
Kama yuko tayari mwambie nimuunganishe na ndugu yangu wa damu GENTAMYCINE ili amtapatie kazi ya Shamba Boy. Kinyume na hapo ataishia tu kufa kwa msongo wa mawazo.Ndo maana hupati kazi
Hii imedhihisha umbumbumbu uliokaa kwenye hilo bichwa
Punguza upumbavu kijana...Hata ufanye nini, ukubwa haujifichi. Kuna timu ilipelekwa huko katikati ya mashamba ya alizeti eti kuzindua uwanja ambao kwanza hauna hata majukwaa na matokeo yake wageni rasmi waliloana tepetepe, kamvua tu kadogo kakasitisha mechi.
Wakati huo huo, Simba imepewa heshima ya kuzindua viwanja viwili vikubwa zaidi nchini baada ya matengenezo makubwa, Uwanja wa Mkapa na uwanja wa New Amaan Complex. Baada ya hapo wengine ndiyo wataruhusiwa kuvitumia.
Simba ndiyo timu ya kwanza kutumia pitch mpya ya New Amaan Complex na mashabiki wa Simba ndiyo wa kwanza kwenda kukalia viti vipya vya uwanja wa Mkapa.
Nuneni ila hamna kitu mnaweza fanya! Kwa kukumbushia, nimestaafu kubishana na mashabiki wa vitimu vidogovidogo.
Prince Dube alipakwa mafuta hayo hayo waliyopakwa wachezaji wa Simba ila cha ajabu sikuona unakuja na hizi kejeli.Daudi hakupakwa mafuta vilainishi😀😃😂
Kupakwa mafuta kibiblia ni kubarikiwa au kupewa cheo kiungu
Sio 5imba ainame eti anapakwa mafuta kama David
Mnaogopa mbuzi ila mkiitwa kwenye supu mnajazana na kupigana vikumbo. Mnaishi dunia gani hiyo mnayoogopa wazee?Tusiache kuwaona wazee wakiingia na mbuzi uwanjani lakini.
Comrade, kwani wewe ni mwimbaji wa taarabu! Mbona unapenda sana vijembe!!!
Nyie bila kukumbushwa udogo wenu mnajisahau sanaPunguza upumbavu kijana...
Dube aliombewa hawezi kusimama apakwe vilainishi ati anapakwa mafuta kama DavidPrince Dube alipakwa mafuta hayo hayo waliyopakwa wachezaji wa Simba ila cha ajabu sikuona unakuja na hizi kejeli.
Sasa mbuzi wa kupanda kwenye basi usiogope?Ingekuwa lori ungesema kapandishwa.Mnaogopa mbuzi ila mkiitwa kwenye supu mnajazana na kupigana vikumbo. Mnaishi dunia gani hiyo mnayoogopa wazee?