Simba SC kuzindua viwanja viwili vikubwa nchini

Simba SC kuzindua viwanja viwili vikubwa nchini

Huu ujadala wa uwanja wenu niliufunga kwa uzi huu.

Story za ujenzi wa uwanja wa Yanga pale Jangwani ni danganya toto

Kama mko serious, waambieni viongozi wenu waanze kwanza na uwanja wa mazoezi. Dalili za mtu kushindwa jambo ni kutaka kuruka hatua na kukimbilia mambo makubwa wakati madogo yanamshinda. Msitake sana kushindana na Simba. Pigeni hatua kwa speed mliyojaaliwa.
Uwanja wa mazoezi upo Avic town

Naungana na wewe uwanja pale Jangwani haiwezekani wala tusiwe wanafiki geography ya pale ni mbaya mno

Tanzania ni kubwa ardhi ipo kubwa tu Yanga wapate ardhi wajenge uwanja kwenye sehemu rafiki
 
Uwanja wa mazoezi upo Avic town

Naungana na wewe uwanja pale Jangwani haiwezekani wala tusiwe wanafiki geography ya pale ni mbaya mno

Tanzania ni kubwa ardhi ipo kubwa tu Yanga wapate ardhi wajenge uwanja kwenye sehemu rafiki
Nashukuru kama umekubaliana na mimi kuhusu ahadi hewa. Juzi Hersi amerudia hii ahadi tena, anasema Serikali itawasaidia. Sasa serikali kweli iende kujenga uwanja wa klabu moja?

Mara ya mwisho Yanga kufanya mazoezi kule Kimbiji ni lini? Na pia ule siyo uwanja unaomilikiwa na Yanga.
 
Huyu akiniona jukwaani huwa anakimbia ananiogopa mno
Alikuja analia anaomba kibarua hata kazi za ndani
Na Mimi Huwa natumia huo mwanya kuhakikisha anakosa amani

😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nashukuru kama umekubaliana na mimi kuhusu ahadi hewa. Juzi Hersi amerudia hii ahadi tena, anasema Serikali itawasaidia. Sasa serikali kweli iende kujenga uwanja wa klabu moja?

Mara ya mwisho Yanga kufanya mazoezi kule Kimbiji ni lini? Na pia ule siyo uwanja unaomilikiwa na Yanga.
Hata Bunju sio Kwa Simba
 
Yaani watu wanazungumzia kutwaa Makombe lakini Kuna shabiki wa Mbumbumbu fc ana diriki kuandika maswala ya kuzindua uwanja kuvaa jezi, kuvaa viatu, kufungua account ya, Whatsapp, kushika nafasi ya nne sijui kibegi
Yani ni mambo ya aibu kabisa badala ya kujivunia Makombe waliyo twaa anajivunia u mbumbumbu.
 
Sipendi kuweka Mafanikio yangu Hadharani Ila J5 Uje hapa Golden Jubilee tower Mtaa wa Ohio Opposite na Jengo TIC, Ruksa kuniona.

Kuna mwenzio alikuwa ananitanika kuhusu kazi alipofika Offisini kwangu akaanza kuniomba nimsaidie Connection.

Sema ndio upo Near Burundi Unakimbizana na wanyamapori.
Karibu mkuu Huko tutarudi tuki retire.
 
Yaani watu wanazungumzia kutwaa Makombe lakini Kuna shabiki wa Mbumbumbu fc ana diriki kuandika maswala ya kuzindua uwanja kuvaa jezi, kuvaa viatu, kufungua account ya, Whatsapp, kushika nafasi ya nne sijui kibegi
Yani ni mambo ya aibu kabisa badala ya kujivunia Makombe waliyo twaa anajivunia u mbumbumbu.
Simba imepewa heshima hiyo kama ilivyopewa heshima ya kufanya ufunguzi wa AFL.

Hauwezi kupewa heshima hizo kama una katimu kadogodogo. Siyo kama timu ile ikafoji uzinduzi wa CAFCL na mashabiki wake isipokuwa Kikwete na Mzee Manara wakajazana kuangalia uzinduzi huo!
 
Unafanya kazi ya ulinzi au usafi?
Mkuu nianze kuweka Professional yangu hapa hadharani?????.

Itoshe kusema njoo Golden Jubilee Tower tutaonana kama kweli una uhitaji.

Wahaya wana msemo wao wanasema "usimdharau mtu anayekuwa".
 
Mkuu nianze kuweka Professional yangu hapa hadharani?????.

Itoshe kusema njoo Golden Jubilee Tower tutaonana kama kweli una uhitaji.

Wahaya wana msemo wao wanasema "usimdharau mtu anayekuwa".
Hongera sana
Furaha yangu ni wewe uishi vyema
Uwe na maisha mazuri
Uwe na biashara zako
Uwe na kazi nzuri
Mambo yakuendee vyema tu

Haya mengine ni utani tu, hapa jukwaani ili kusukuma siku
 
Simba imepewa heshima hiyo kama ilivyopewa heshima ya kufanya ufunguzi wa AFL.

Hauwezi kupewa heshima hizo kama una katimu kadogodogo. Siyo kama timu ile ikafoji uzinduzi wa CAFCL na mashabiki wake isipokuwa Kikwete na Mzee Manara wakajazana kuangalia uzinduzi huo!
Ona sasa u mbumbumbu mlionao yaani unapewa heshma ya uzinduzi uku walikua walikupiga faini ya ulozi kule South, Siku chache zilizopita limepelekwa shtaka CAF la kumwaga chumvi uwanjani kabla ya mechi ya CAF, wachezaji wanapakwa mafuta kabla ya mchezo amuoni izo ni aibu.
 
Ona sasa u mbumbumbu mlionao yaani unapewa heshma ya uzinduzi uku walikua walikupiga faini ya ulozi kule South, Siku chache zilizopita limepelekwa shtaka CAF la kumwaga chumvi uwanjani kabla ya mechi ya CAF, wachezaji wanapakwa mafuta kabla ya mchezo amuoni izo ni aibu.
Screenshot_20250415-200842.png
 
Ona sasa u mbumbumbu mlionao yaani unapewa heshma ya uzinduzi uku walikua walikupiga faini ya ulozi kule South, Siku chache zilizopita limepelekwa shtaka CAF la kumwaga chumvi uwanjani kabla ya mechi ya CAF, wachezaji wanapakwa mafuta kabla ya mchezo amuoni izo ni aibu.
Badala ya kuwalaumu wanaoipa hiyo heshima Simba, umekaa na makasiriko yako hadi unajitungia story za kujiliwaza. Poor you!

Kitendo changu cha kubishana hapa na mshabiki wa vitimu vidogovidogo ni kwamba nimejishusha saaana.
 
Mimi nikajua wamejenga viwanja vyao vya mpira kumbe ni kwenda tu kucheza mpira kwenye viwanja vya watu vilivyokarabatiwa.
Ninacho ona Simba wameitwa tu wacheze pale ili kama kuna mapungufu yaonekane na kurekebishwa kabla ya wazoefu na WABABE WA SOKA TANZANIA (Young African) hawajafika kutandaza soka

Hili nalo ni sifa eti

Wanasimba ni Mbumbumbu
Eden Rage
Nyie subirini kesho wazee wa hizi kazi tuwazindulie uwanja ili mje kucheza Muungano, mashindano mliyoyadhihaki mwaka jana tu.
 
Back
Top Bottom