Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,526
- 70,375
Babu imekuwaje mbona hayupo?View attachment 1765730
Line up ya simba sc
Babu imekuwaje mbona hayupo?View attachment 1765730
Line up ya simba sc
Kennedy simkubali: Match na Gwambina mipira mi 3 ya juu opponent anaruka ye haruki..Babu imekuwaje mbona hayupo?
Simba 5-1Gwambina? Sijaelewa Gwambina tena.Mechi umeshaniaga hyo....matokeo yake ninayo mfukoni hapa....Simba 5-1Gwambina
Ahsante sana Mkuuu, nitakuwa napita humu kuchek kinachojili.Kila la heri Mkuu katika safari yako..!
Naam mkuu Simba nguvu MojaUtapata hapa mubashara kabisa
Mnyama kama MnyamaKila la heri mnyama