mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Ni kweli ndio maana wanaamua kucheza rafu tu na kutuharibia biriani letu.Sawa babu. Hii Simba msimu ujao inabidi tuombe tu hata tushiriki ligi ya Sauzi au Misri maana hapa bongo wanatupotezea tu nguvu zetu bure hakuna wakushindana na sisi.