Mbuta Likaso
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 5,359
- 10,445
Kuna team Mugalu watakuja kukwambia "kaa kimya hujui mpira wewe, na sidhani hata kama ulicheza mpira utotoni..Mugalu ni mzuri,anajua kuficha mpira na kukabia juu" and all the rubbish stuff.Niambie alichofanya Mugalu...
Kuna haja ya kuwa hata sub...?
Lile li Mugalu ni lilemavu la akili. Kibyongo, jojo (big G) na kuvimba kijinga jinga tu.Motherfucker!