John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Timu ndiyo zinaingia uwanjani, muda wowote mchezo huu wa Ligi Kuu Bara utaanza hapa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
KIPINDI CHA KWANZA
Mchezo umeanza.
Dk 1: Mwamuzi anapuliza kipenga cha kuanza kwa mchezo.
Dk 1: Simba wanaanza kwa kasi, wanafika langoni mwa Mbeya Kwanza, John Bocco anashindwa kumalizia mpira aliotanguliziwa.
Dk 3: Simba wameanza kwa kasi na wanamiliki mpira muda mwingi.
Dk 5: Mbeya Kwanza hawajafika langoni mwa Simba mpaka muda huu.
Dk 9: Sakho anapiga shuti kali akiwa nje ya eneo la 18, kipa anapangu inakuwa kona.
Dk 10: Simba wanaonekana kuwa na kasi ya kutafuta bao la mapema.
Dk 12: Mbeya Kwanza wanapata kona, wanapiga akini inaokolewa.
Dk 14: Mbeya Kwanza wanafanya shambulizi la kupiga shuti kali lakini Aishi Manula anadaka.
Dk 15: Sakho anapiga shuti lingine kali lakini linatoka nje la lango.
Dk 17: Mbeya City nao wanaonyesha kuwa wapo makini, mchezo unatawaliwa na kasi.
Dk 23: William Edigar wa Mbeya Kwanza anapata nafasi lakini shuti lake linakosa nguvu, linadakwa na Manula.
Dk 25: Kasi ya mchezo imepungua kiasi.
Dk 30: Simba wanaendelea kulisakama lango la wapinzani.
Dk 33: Simba wanafanya shambulizi kali, Meddie Kagere anaukosa mpira kwa kichwa inakuwa kona.
Dk 38: Sakho anafanya kazi nzuri ya kuingiza mpira kwenye box ya wapinzani lakini hakuna wa kuimalizia.
Dk 40: Matokeo bado ni 0-0.
Dk 41: Kanoute anapiga shuti linapaa juu.
Dk 44: Simba wanafanya mashambulizi mawili makali lakini bado ukuta unakuwa mgumu.
Dk 45: Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza.
MAPUMZIKO
KIPINDI CHA PILI
Dk 46: Kipindi cha pili kimeanza.
Dk 50: Mashambulizi ni ya kupokezana.
Dk 52: Kagere anashindwa kuutumia vizuri mpira uliomponyoka kipa wa Mbeya Kwanza.
Dk 55: Mbeya Kwanza wanafanya shambulizi la nguvu, mpira unapaa juu.
Dk 58: Mbeya Kwanza nao wanasogea mbele na kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Dk 60: Simba wanafanya mabadiliko, Bocco na Mkude wanatoka, wanaingia Chama na Mugalu.
Dk 65: Mugalu anaoata nafasi nzuri lakini shuti lake linapaa juu ya lango.
Dk 69: Dilunga yupo nje anajiandaa kuingia kutokea benchi.
Dk 70: Dilunga anaingia, anatoka Bwalya.
Dk 72: Kipa wa Mbeya Kwanza anapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha muda.
Dk 77: Kipa wa Mbeya Kwanza yupo chini, anatibiwa.
Dk 79: Mchezo unaendelea.
Dk 80: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Chama anaipatia Simba bao baada ya purukushani za kuwania mpira langoni mwa lango la Mbeya Kwanza.
Dk 86: Mchezo umekuwa mkali, Mbeya Kwanza wanafunguka na kusogea mbele kushambulia.
Dk 88: Simba wanafanya mabadiliko, anatoka Kagere na Sakho, wanaingia Erasto Nyoni na Gadiel Michael.
Dk 90: Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 5 za nyongeza.
Dk 90+2: Timu zote zinafunguka, presha inakuwa kubwa.
Dk 90+4: Mbeya Kwanza wanapata faulo baada ya Inonga kucheza faulo. Inapigwa inaokolewa.
Dk 90+5: Mwamuzi anamaliza mchezo.
FULL TIME
KIPINDI CHA KWANZA
Mchezo umeanza.
Dk 1: Mwamuzi anapuliza kipenga cha kuanza kwa mchezo.
Dk 1: Simba wanaanza kwa kasi, wanafika langoni mwa Mbeya Kwanza, John Bocco anashindwa kumalizia mpira aliotanguliziwa.
Dk 3: Simba wameanza kwa kasi na wanamiliki mpira muda mwingi.
Dk 5: Mbeya Kwanza hawajafika langoni mwa Simba mpaka muda huu.
Dk 9: Sakho anapiga shuti kali akiwa nje ya eneo la 18, kipa anapangu inakuwa kona.
Dk 10: Simba wanaonekana kuwa na kasi ya kutafuta bao la mapema.
Dk 12: Mbeya Kwanza wanapata kona, wanapiga akini inaokolewa.
Dk 14: Mbeya Kwanza wanafanya shambulizi la kupiga shuti kali lakini Aishi Manula anadaka.
Dk 15: Sakho anapiga shuti lingine kali lakini linatoka nje la lango.
Dk 17: Mbeya City nao wanaonyesha kuwa wapo makini, mchezo unatawaliwa na kasi.
Dk 23: William Edigar wa Mbeya Kwanza anapata nafasi lakini shuti lake linakosa nguvu, linadakwa na Manula.
Dk 25: Kasi ya mchezo imepungua kiasi.
Dk 30: Simba wanaendelea kulisakama lango la wapinzani.
Dk 33: Simba wanafanya shambulizi kali, Meddie Kagere anaukosa mpira kwa kichwa inakuwa kona.
Dk 38: Sakho anafanya kazi nzuri ya kuingiza mpira kwenye box ya wapinzani lakini hakuna wa kuimalizia.
Dk 40: Matokeo bado ni 0-0.
Dk 41: Kanoute anapiga shuti linapaa juu.
Dk 44: Simba wanafanya mashambulizi mawili makali lakini bado ukuta unakuwa mgumu.
Dk 45: Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza.
MAPUMZIKO
KIPINDI CHA PILI
Dk 46: Kipindi cha pili kimeanza.
Dk 50: Mashambulizi ni ya kupokezana.
Dk 52: Kagere anashindwa kuutumia vizuri mpira uliomponyoka kipa wa Mbeya Kwanza.
Dk 55: Mbeya Kwanza wanafanya shambulizi la nguvu, mpira unapaa juu.
Dk 58: Mbeya Kwanza nao wanasogea mbele na kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Dk 60: Simba wanafanya mabadiliko, Bocco na Mkude wanatoka, wanaingia Chama na Mugalu.
Dk 65: Mugalu anaoata nafasi nzuri lakini shuti lake linapaa juu ya lango.
Dk 69: Dilunga yupo nje anajiandaa kuingia kutokea benchi.
Dk 70: Dilunga anaingia, anatoka Bwalya.
Dk 72: Kipa wa Mbeya Kwanza anapewa kadi ya njano kwa kuchelewesha muda.
Dk 77: Kipa wa Mbeya Kwanza yupo chini, anatibiwa.
Dk 79: Mchezo unaendelea.
Dk 80: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Chama anaipatia Simba bao baada ya purukushani za kuwania mpira langoni mwa lango la Mbeya Kwanza.
Dk 86: Mchezo umekuwa mkali, Mbeya Kwanza wanafunguka na kusogea mbele kushambulia.
Dk 88: Simba wanafanya mabadiliko, anatoka Kagere na Sakho, wanaingia Erasto Nyoni na Gadiel Michael.
Dk 90: Mwamuzi wa akiba anaonyesha dakika 5 za nyongeza.
Dk 90+2: Timu zote zinafunguka, presha inakuwa kubwa.
Dk 90+4: Mbeya Kwanza wanapata faulo baada ya Inonga kucheza faulo. Inapigwa inaokolewa.
Dk 90+5: Mwamuzi anamaliza mchezo.
FULL TIME