Mpira ni mchezo wa kikatili
Kocha Mpya Simba Anakuja Lini? Timu inahitaji Maombi, Sala, Dua, Kuwa Sa Kisaikolojia
Bila ushindi inakua kuruka ruka tuMashabiki mtulie ni mbinu tu za kawaida Simba anatumia Counter Attack na mashambulizi ya kushtukiza
Cleansheet inakupa point ngapi?Siyo mbaya, at least. Ni Cleansheet ya 4.
Manara anakwambia Simba wanacheza mpira bumundaPira miogo ya kuchoma pira mandondo
Taarifa mubashara itoe na hitimisho hata pale tukifungwa, kama ilivyotolewa kwa sare ya Leo.Coastal Union haijawahi kupata ushindi mbele ya Simba kwenye ligi kuu kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita tangu msimu wa 2018/19. Katika mechi sita walizokutana, Simba imeshinda mechi tano na kutoka suluhu mechi tatu, Jumla Ya Magoli 21 Wagosi wa Kaya Wafungwa na simba katika Michezo hii 6 huku Simba Wakiruhusu magoli 2 katika michezo 6. Timu hizi hazijawahi kupata sare ya mabao. Leo wanakutana kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dares Salaam. Je, Coastal watafuta uteja?
Ni leo saa 1:00 usiku
======
Mchezo umemalizika uwanja wa Benjamin Mkapa kwa matokeo yasiyo na Magoli. Kila upande umelamba kadi nyekundu Coastal wakitangulia na baadae mchezaji wa Simba
FT: Simba SC 0-0 Coastal Union
Hawa sio simba ni simbilisiSimba wa kufugwaa
Tulidhani Simba kweli kumbe Mijibwa koko tu😂😂🙌Hawa sio simba ni simbilisi
Haha siku nzuri leoTulidhani Simba kweli kumbe Mijibwa koko tu😂😂🙌