ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,660
Coastal Union haijawahi kupata ushindi mbele ya Simba kwenye ligi kuu kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita tangu msimu wa 2018/19. Katika mechi sita walizokutana, Simba imeshinda mechi tano na kutoka suluhu mechi tatu, Jumla Ya Magoli 21 Wagosi wa Kaya Wafungwa na simba katika Michezo hii 6 huku Simba Wakiruhusu magoli 2 katika michezo 6. Timu hizi hazijawahi kupata sare ya mabao. Leo wanakutana kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dares Salaam. Je, Coastal watafuta uteja?
Ni leo saa 1:00 usiku
======
Mchezo umemalizika uwanja wa Benjamin Mkapa kwa matokeo yasiyo na Magoli. Kila upande umelamba kadi nyekundu Coastal wakitangulia na baadae mchezaji wa Simba
FT: Simba SC 0-0 Coastal Union
Ni leo saa 1:00 usiku
======
Mchezo umemalizika uwanja wa Benjamin Mkapa kwa matokeo yasiyo na Magoli. Kila upande umelamba kadi nyekundu Coastal wakitangulia na baadae mchezaji wa Simba
FT: Simba SC 0-0 Coastal Union