Simba naona wanatafuta gap la ku-escape mechi ya kesho

Mtanzanias

JF-Expert Member
Jul 30, 2021
1,747
3,723
Simba leo wamekataa kuzungumza na vyombo vya habari kwa sababu kwenye bango la TFF waliloliandaa ilikuwepo nembo ya GSM, sasa najiuliza swali dogo tu je kesho wakiyakuta mabango ya GSM uwanjani wataingiza timu uwanjani au hawatoingiza timu?

Na wasipoingiza timu kitakachofuata ni kipi, ni mechi kurudiwa kuchezwa siku nyingine au Yanga kupewa point zake 3 na magoli 2? Na Kama TFF ikisema mechi irudiwe. Je, Yanga wazee wa msimamo ulionyooka watakubali? Huu ni mtego mzito Sana kwa TFF

===========

Simba GSM nembo.jpg
 
Nasikia wameshapanga kutokucheza kesho endapo mabango ya GSM yatakuepo uwanja,mambo ya biashara haya,Mo ataki kumnufaisha GSm kibiashara.
Sasa wasipocheza kesho na mechi za kimataifa pia watasusia kwa mkapa kisa mabango ya GSM!

Viongozi wa Simba waache upuuzi, wamesajili vibaya wanajua kesho wataaibika wanawaangushia TFF jumba bovu kwa sababu za kitoto kabisa, kama ni changamoto za kimkataba kwanini msubiri game ya Yanga ndiyo muanze figisu!

TFF msiyumbishwe, wakigomea mchezo kesho fuateni taratibu zote za kimpira wapeni wapinzani wao point 3 na adhabu kali kwa Simba iwe funzo.
 
Sasa wasipocheza kesho na mechi za kimataifa pia watasusia kwa mkapa kisa mabango ya GSM!

Viongozi wa Simba waache upuuzi, wamesajili vibaya wanajua kesho wataaibika wanawaangushia TFF jumba bovu kwa sababu za kitoto kabisa, kama ni changamoto za kimkataba kwanini msubiri game ya Yanga ndiyo muanze figisu!

TFF msiyumbishwe, wakigomea mchezo kesho fuateni taratibu zote za kimpira wapeni wapinzani wao point 3 na adhabu kali kwa Simba iwe funzo.
Wasipoingiza timu ishushwe hata daraja, ligi ina timu nyingi zitacheza.
 
Sasa wasipocheza kesho na mechi za kimataifa pia watasusia kwa mkapa kisa mabango ya GSM!

Viongozi wa Simba waache upuuzi, wamesajili vibaya wanajua kesho wataaibika wanawaangushia TFF jumba bovu kwa sababu za kitoto kabisa, kama ni changamoto za kimkataba kwanini msubiri game ya Yanga ndiyo muanze figisu!

TFF msiyumbishwe, wakigomea mchezo kesho fuateni taratibu zote za kimpira wapeni wapinzani wao point 3 na adhabu kali kwa Simba iwe funzo.
Kimataifa Gsm afate nini wewe uto?
 
Sasa wasipocheza kesho na mechi za kimataifa pia watasusia kwa mkapa kisa mabango ya GSM!

Viongozi wa Simba waache upuuzi, wamesajili vibaya wanajua kesho wataaibika wanawaangushia TFF jumba bovu kwa sababu za kitoto kabisa, kama ni changamoto za kimkataba kwanini msubiri game ya Yanga ndiyo muanze figisu!

TFF msiyumbishwe, wakigomea mchezo kesho fuateni taratibu zote za kimpira wapeni wapinzani wao point 3 na adhabu kali kwa Simba iwe funzo.
Ni kweli mkuu,ni kwa nn wasubirie Derby ndo waanzishe Chokochoko? Huku Simba ni Club inayojinasibu kuwa na viongozi wenye uweledi? Hapa Mo amekaza ataki kumtangaza GSM, hapa tayari washamtangaza GSM kwa kukataa kufanya press na kesho wasipokuja napo watakuwa wamemtangaza vilevile.
 
Nina uhakika-100% kesho Simba haingii uwanjani,labda wabadili msimamo wao soon,kukataa kufanya press ni ishara tosha kabisa ya picha halisi ya kesho.
 
Mwenyeji wa mchezo wa kesho ni Simba. Hivyo wanachama wa Simba wanahaki ya kuondoa mabango yote ya G*M
 
Mwenyeji wa mchezo wa kesho ni Simba. Hivyo wanachama wa Simba wanahaki ya kuondoa mabango yote ya G*M
Mkuu nisaidie kisheria na wala sio kiushabiki,wakiyaondoa hayo mabango ni hatua zipi zinazoweza kuchukuliwa kwa timu husika-kama endapo timu zilishirikishwa kwenye mchakato wa udhamini huu wa GSM?,Nimetumia neno "kama".
 
Simba leo wamekataa kuzungumza na vyombo vya habari kwa sababu kwenye bango la tff waliloliandaa ilikuwepo nembo ya gsm, sasa najiuliza swali dogo tu je kesho wakiyakuta mabango ya gsm uwanjani wataingiza timu uwanjani au awatoingiza timu? Na wasipoingiza timu kitakachofuata ni kipi, ni mechi kurudiwa kuchezwa siku nyingine au yanga kupewa point zake 3 na magoli 2? Na Kama tff ikisema mechi irudiwe je yanga wazee wa msimamo ulionyooka watakubali? Huu ni mtego mzito Sana kwa tff
Kipindi kile yanga ilikuwa vibaya..ikapata upenyo ikakimbia mechi

Zamu yetu Sasa..Simba ipo vibaya na sisi tumepata upenyo..tunakimbia kesho

Busara itatumika..usifikiri..Kuna mwenye uwezo wa kushusha daraja Simba au yanga..
 
Kipindi kile yanga ilikuwa vibaya..ikapata upenyo ikakimbia mechi..
Zamu yetu Sasa..Simba ipo vibaya na sisi tumepata upenyo..tunakimbia kesho..
Busara itatumika..usifikiri..Kuna mwenye uwezo wa kushusha daraja Simba au yanga..
Na point 3 zitaenda wapi Kama mtakimbia, maana kwenye ili jambo alitokuwa na msalia mtúme kwamba mechi ihairishwe kama kipindi kile icho kitu akitokuwepo safari hii
 
Kipindi kile yanga ilikuwa vibaya..ikapata upenyo ikakimbia mechi..
Zamu yetu Sasa..Simba ipo vibaya na sisi tumepata upenyo..tunakimbia kesho..
Busara itatumika..usifikiri..Kuna mwenye uwezo wa kushusha daraja Simba au yanga..
Hakuna sababu ya kuufatilia mpira wa simba na yanga kama utaratibu ndo huu.
 
Sasa wasipocheza kesho na mechi za kimataifa pia watasusia kwa mkapa kisa mabango ya GSM!

Viongozi wa Simba waache upuuzi, wamesajili vibaya wanajua kesho wataaibika wanawaangushia TFF jumba bovu kwa sababu za kitoto kabisa, kama ni changamoto za kimkataba kwanini msubiri game ya Yanga ndiyo muanze figisu
Wewe mbona haujahoji kwanini TFF wasubiri mechi dhidi UTOPWIII ndio wawape SIMBA taarifa kuwa inabidi jezi zao waweke chapa ya GSM.

kwa sababu gani wawaimbie wakati huu wakati mkataba umesainawa siku nyingi zilizopita?
 
Back
Top Bottom