Simba na Yanga mtatumika kisiasa hadi lini?

Simba na Yanga mtatumika kisiasa hadi lini?

Blood of Jesus

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
6,199
Reaction score
10,837
Mara nyingi mambo ya Simba na Yanga yametumika kuwatoa waTanganyika kwenye mijadala mizito yenye tija kitaifa. Wadadisi wa mambo wamenyetisha kuwa hata huku kuahirisha -ahirisha mchezo bila sababu ni kujaribu kuwahamisha waTanganyika kutoka katika ishu nyeti ya kitaifa ya No Reform No Election

wa Tanganyika tulale hata lini?
 
Back
Top Bottom