Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Ile mechi yenu na Mtibwa nani alishangilia sare?Sare imewatoa kimasomaso! Inaelekea mlitegemea kifo, Maana kila chura anatabasamu usoni.
Ile mechi yenu na Mtibwa nani alishangilia sare?Sare imewatoa kimasomaso! Inaelekea mlitegemea kifo, Maana kila chura anatabasamu usoni.
Endelea tu kusebeneka Mkuu, maana ,hiyo sare hamkutarajia!Unaikumbuka droo yenù na Mtibwa?
kama mtoto, unachofanya ni kuiga tu. Una ushahidi kuwa tulishangilia ile sare?! Ilitukera ndio maana anaondolewa mmoja. Omog barua yake inasubiri kuandikwa tarehe tu!Ile mechi yenu na Mtibwa nani alishangilia sare?
twendeni UN ama ICC tuwakomeshe kabisa hawa kina shishimbeTunaenda Caf,Tff au Fifa?
ok basi tufanye mmeshinda 2-1Sio kukata rufaa kwa ajili ya goli, bali kwa ajili ya ule mkono wa Yondani ile ni penati iliyo wazi.
Tafuta video za azam tv zinaonyesha.
Watu bhana,eti mara ya mwisho Simba kuchukua ubingwa wa voda singeli haikuwepo wala e FM ya majizoWatu bwana, eti mara ya mwisho Yanga kuifunga Simba mabasi ya mwendokasi yalikuwa hayajaanza kazi
Okwi alikuwa na miaka 18.Na mara ya mwisho Simba kuchukua ubingwa Rais alikuwa ni Jakaya Kikwete. Sasa Magufuli anaelekea mwaka wa tatu.
Wanasubiri JPM amalize muda wake
Wanajijua uwezo wao. Kuishinda simba yanga huvahatisha tu level yake ni kichapo na sare ndiyo maana wakisare kwao ni ushindi toshaSijui kwa nini mkitoa droo vyura huwa mna furaha?
Sijui kwa nini mkitoa droo vyura huwa mna furaha?
Mara ya mwisho simba kuchuķua ubingwa mabasi ya mwendokasi bado hayajaundwa na wala wachina waliķuwa hawana mpango huo
Kumbe, sikujua kuwa hii ndo furaha ya vyuraKwasababu kikosi chenu ni 1.3b zidi ya 600m za chura.Still point sawa 16.
Mi nazungumzia Simba na Yanga, kama unataka nizungumzie Mtibwa na Simba anzisha thread nyingineUnaikumbuka droo yenù na Mtibwa?